asakuta same... kuna baadhi ya watu wanajadili ili kuchangamsha genge tufurahi sie (kwamba wanayoyasema hayapo wala hayawezekani).
pia nachoamini ni kuwa kama mume na mke wanapendana na kila mtu anatimiza wajibu wake kwa kadri ya uwezo wake ..hayo MALUMBANO ya kusaidiana sijui fedha (mke kusaidia mahitaji mbalimbali ya familia) au sijui kazi za ndani (baba kusaidia some stuffs za pale home) hayapo lol.
Msaada unakuja automatically, na usipokuja una uomba akikataa basiiii.. Fanya kwa kadri ya nafasi na afya yako ikishindikana fanya siku inayofuata.
tena now days na hizi digitali zinatusaidia sana (apply na hizi pia) kurahisisha mambo... si mnafanya kazi bana kwa hiyo hamna nafasi ya shughuli za nyumbani .. nunua mashine ya kufua, vimashine vingine vya kurahisisha kazi za nyumbani, weka na beki 3... Alafu nyie mnabaki na yale mambo yenu binafsi ambayo hamtaki kuyaanika hadharani. JUST SIMPLE