andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,028
Yani nyinyi wake zetu mnatia aibu sana, nimetoka kusuluhisha ugomvi kwa jamaa yangu, ugomvi ulikuwa mkubwa sana ila source mshkaji kachoka kutandikiwa kitanda na beki tatu so akamuuliza mkewe kama huyu dada anafua, ananipikia na bado ananitandikia kitanda hv nikwanini namnyima haki yake ya unyumba? mwanamke almanusura apasuke, ugomvi umesuluhishwa ila vipande nimempa, shame on u na wewe kama ni mmoja wao.
Si bora huyo jamaa. Wengine mpaka inapofikia wakati wa unyumba anaitiwa house girl, eti mama mwenyenyumba hajisikii, eti amechoka.