Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Hapana kwasababu wewe unadhan kujua kiswahili ndo akili wakati mi naamini akili ni uwezo wa kupambanua Mambo!!! .....we unajua lugha yangu ya Kwanza n nn?? Au unaropoka tu....

Na Wewe ni nani alikuambia kuwa Kutokujua Kiswahili na Kujua Lugha yako ya Kwanza ndiyo Akili nani? Hebu nitokee hapa Juha mkubwa Wewe.
 
Huu ndiyo ukweli ndugu zangu, Wazungu kamwe hatowaweza kwa lolote, wametuacha mbali sana, kwenye kila kitu. Wakitaka lolote katika nchi za Africa linakuwa, (kama waliweza Uarabuni) ukiwaletea jeuri sana wana mbinu zote za kukudhoofisha.

Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.
Wenzetu wapo mbele sana,kama ulaya tangu miaka ya 1930,nchi za ulaya,Scandinavia,zilikuwa tayari zinatekinolojia ya simu,sisi,tumeanza kutumia simu,1990,
Nchi ndogo kama UK/England,inapato kubwa kuliko nusu ya Africa,mwananchi mmoja wa UK,anazalisha kipato zaidi ya watu milioni moja wa Tanzania,wapo mbele sana
 
Endelea kulalamika na kupiga porojo.
Hujui historia dunia ....cjui unaropoka kutoka wapi yana unanipa hasira.....

Great kingdom comes from Africa... before colonialism and B.C
KAMA Huwawezi n ww na akili yako ndogo ya kuchambua Mambo!!

Egypt ilikua ni kitovu Cha cilivilization kaangalie America Kuna misingi ya nchi wameijenga kupitia kuigilizia utawala wa Misri
Mansa mussa ndo alikua mtawala tajiri dunian na dola yenye nguvu....

Colonialism imeenda Zaid ya miaka 1000 wakiua viwanda vyetu,kukata mikono masanaa wetu,kutuaminisha ss cyo Bora na ci chochote....miaka Zaid ya elfu 1000 c mchezo aisee....Hadi Leo we unafikira hizo ni matokeo hayo hayo ya white supremace,media influence na mental shaping ya mtu mweupe.....
So sikushangai

Ethiopia haiwez kuchomoka pekee ake wakati nchi za waazungu zinaungana kutunyonya na kutugandamiza!!....ndo maana na ulaya cyo nchi moja tajiri n ukanda!!


Zimbabwe : kinachotokea Zimbabwe ni kutokua na umoja Wass waafrika...tumevurugwa KILA Kona kwa kigezo Cha democrasia,....hatujiulizi UK inamfumo wake haujawai badilishwa!!

Wametufanya tugombane na tuchukiane tusiweze kuja kama kitu kimoja chini ya divide and rule....

Zimbabwe wangeitenga wazungu halafu nchi 54 za Africa ziipe ushirikiano unafikiri ingeteseka...Kwan wao n mungu !?
Lakin wameitenga nassi tumeitenga
Tofaut Sana na North Korea wazungu wameishit lakini bado inachochola kisa nchi kama China,South Korea ,zinaipa support...


Sasa ukisema hivo kama wazungu hatuwawezi wachina leo nawao wangesema hivo miaka ya 1940 leo wangekua wapili.....mkuu usiwafundishe watoto wako hivo ni hatar Sana !!....sorry kama kunasehemu nilikutukana
 
Kwan wachina wamechukua miaka mingap kuwaweka si Mika 51 tu imetosha kuwaburuza wazungu?, sisi tatizo tuna jikatia tamaa ila tukiamua ni simple tu Yan siku muafrica akikua katika maswala ya teknoloji bas mzungu amekwisha mana kila kitu tunacho
 
Umezunguuuka weeeeeee ila inabaki hatuwawezi,utake usitake, ni watu ambao wakiamua chochote kinakuwa,huo ndo ukweli hata jina lako ni la kizungu
 
Alokwambia vitu vyote vimegunduliwa na wazungu n nani....au hujui humo Kuna watu weusi,wachina,wahindi waarabu au Hawa wote we unaita wazungu
We bwana weeee acha ubishi mzungu nomaaa
 
Back
Top Bottom