Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Mkuu ni kweli wazungu ni viumbe waliopiga hatua,ila usiwatukuze kiasi hicho.

Haya mawazo yako nilikuwa nayo enzi zile nikiamini ndani ya redio kuna watu wanaishi,ndio wanaoongea.but baada ya kuja kugundua wenzetu ni wazuri katika kufocus na kitu kimoja,ndio maana wakaja na matokeo tunayoyaona leo ni mazingira zaidi ya 100 tumedhihirisha kwamba watu weusi ni race yenye nguvu na akili kubwa kuwazidi,isipokuwa hatujaamua kuacha upuuzi.

Umeishawahi fikiria fundi garage anayerekebisha kifaa ambacho hata hajui kimegunduliwaje!!!tena kwa nyenzo ambazo hazimsaidii katika hilo??kinapona na kuendelea na kazi.

Miaka 100 ijayo nina uhakika,tutakuwa tumeishaudhihirishia ulimwengu sisi ni akina nani.
 
Huyu jamaa sijui nae katoka wapi! Kama wewe unaona wamekuumba, usituaminishe na sisi. Wachina, wakorea miaka ya 70 walikuwa na kauli kama hizo, sasa hivi hata wazungu wanawaogopa! Sasa unavyoanza kufananisha herufi kwamba inafanana na Mungu, mi naona hauko sawa kichwani!
Unapozungumzia MTU mweupe unanielewa lakini? Wewe wasimamishwe watu, kati ya mchina ,muhindi, mzungu na MTU mweusi.

ukiambia chagua watu watatu wanaofanana rangi utamchagua nani na nani?wachina wahindi wote technology imetoka kwa mzungu, bado umuhimu wake unaonekana,mzungu Leo akiamua kuua uchumi Wa mchina anaweza Mara moja
 
Kipindi hiko wao watakuwa wanwasubiri tu?wenzanu wanaenda mwezini,miaka hiyo yote watakuwa wamehama sayari hii
 
Kipindi hiko wao watakuwa wanwasubiri tu?wenzanu wanaenda mwezini,miaka hiyo yote watakuwa wamehama sayari hii
Mkuu mzungu amefungua njia,sisi kupita kufika alipo na kupitiliza haitahitaji nguvu nyingi.

Unadhani sasa hivi utachukua muda gani kuyeyusha chuma,mpaka kukifanya gari linalotembea,kwa kuiga na kusoma magari yaliyopo!!!

Ndio maana hata matrain ya umeme tunayaweka sasa wakati kimsingi wao imewachukua muda sana kuyapata.
 
Mkuu waaa Africa ndiyo basi tena,wasomi ndo tuliwategemea watutoe hapa tulipo ila wao nao wanasubiri kama sisi,sahau kuwafikia wazungu,na usiote kuwapita,ulaya Leo MTU binafsi tu anaunda Pikipiki tena kwake ,sisi katuna kitu
 
Mi huwa ni mbishi ila kwa hili sikuzote huwa sibishi

Class ziko hiv

#Muhindi anamuona mtu mweus takataka
#mwarabu anamuona muhindi takataka
#mchina na jamii zake anamuona mwarabu takataka
#na mzungu anawaona woote hao wa juu takataka
 
Siyo kutawaliwa nazungumzia hali halisi ya mambo ,wana mapungufu yao kwa kweli ila ukweli in kwamba wametupita
 
kwenda21,

Na ili ujue na uthibitishe kuwa hatutowaweza nakuomba niondolee Herufi Z katika hili Neno Mzungu kisha niambie linabaki neno gani hapo Ndugu.
Wazungu ni mungu/miungu ya chadema hili tunalijua/liko wazi
 
kwenda21,

Na ili ujue na uthibitishe kuwa hatutowaweza nakuomba niondolee Herufi Z katika hili Neno Mzungu kisha niambie linabaki neno gani hapo Ndugu.
Nakuonesha kua sisi tuna upungufu wa maarifa kichwani hebu niondolee herufi B kwenye neno BLACK
 
kwenda21,

Na ili ujue na uthibitishe kuwa hatutowaweza nakuomba niondolee Herufi Z katika hili Neno Mzungu kisha niambie linabaki neno gani hapo Ndugu.
Mzungu na zungu ni watu wawili tofauti.... anyway
Sitaki mchanganyo mm naita mtishi/mtasha baas
 
Yote tuyafanyayo hapa jf kupitia simu zetu ,internate ni mzungu ametuwekea hatuna ujanja yote tufanyayo humu wanajua.....
hapa duniani wametuzidi.....
tuombe kama kuna ulimwengu mwingine.....
na sisi tukawagalagaze huko....
 
Hivi nani aliwapa ilo jina la wazungu? Na nani alisema europe kwa kiswahili ni ulaya
#mindset
Swali bovu sana....
hata kilugha chenu lazima mzungu mmempa jina kama ambavyo mmeipa hela jina
 
bila shaka waafrika wote wangekuwa na akili kama zako ikiwemo mwl.nyerere basi hadi sasa tungekuwa watumwa. acha ujinga wewe mtoto wa miaka22 amka usiwe mjinga usije sababisha wanao waje kujuta baadae kwa kupata baba mjinga. kasakabligado!
sasa prove kama hatuwawezi ukishindwa I'm gonna start calling braidead. And please speak for yourself next time kila mtu kazaliwa kivyake so suk your opinions.
 
Back
Top Bottom