Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Maneno yako tu inaonyesha jinsi ulivyo empty upstairs,kama siyo MTU wa kawe au mbagala we sijuiiii

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kufanya dege kubwa vile kama Antonov An 225 au lile Airbus A380 kupaa kwa ukubwa ule Ni moja ya maajabu ya Mzungu.
 
Kwenda zako, hujui mambo mengi sana
 
Wanaweza baadhi,ndo maana kuna utabiri Wa hali hewa,mwana we kubali tu kiroho safi acha chuki lazima ukubali kimaarifa wametuzidi, ona simu unayotumia, ona magari, bila wao ungetembea na mguu toka mbeya hadi Dar.

Wazanzibar wangeogelea mpaka dar,magorofa makubwa mgepandisha tofali kwa mkono,moto tungekuwa tunapikicha uwimbombo na ulindi mpaka Leo,umeme hakuna,technology ya kuongezewa damu,maji,mambo ni mengi sana



Mchina, Huawei, Oppo, One plus, Techno mobile n.k...

South Korea/Vietnam, Samsung, LG n.k..moja ya makampuni yenye mauzo makubwa ulimwenguni kuliko kampuni yoyote unayoijua wewe 👉Samsung + Huawei

Taiwan, HTC, Acer n.k


Tukienda kwenye magari, Mjapan na Mchina ndio wametawala soko la duniani...serikali yetu %100 wanatumia magari yao...


Tukienda upande wa ujenzi wachina wako juu sana, magorofa, mabarabara, madaraja..hapo inadepend na wewe ama serikali wanahitaji kiwango gani wajengewe...



Tukienda kwenye umeme pia, mchina kavumbua solar mpaka za 3phase unapata...nenda vijijini kajionee watu wanaishi kwa solar...mchina hatari mno...na ndio maanna European countries wanamchukia na wanamfanyia kila vituko aporomoke kiuchumi lakini wamegonga mwamba...


Mungu awabariki wenye hayo makampuni...si ajabu hata wewe ni mmoja wa watumiaji wazuri wa vifaa vyao...ila hamuna shukrani hata kidogo...Mzungu mmemfanya kama Mungu...
 
Huu ndiyo ukweli ndugu zangu, Wazungu kamwe hatowaweza kwa lolote, wametuacha mbali sana, kwenye kila kitu. Wakitaka lolote katika nchi za Africa linakuwa, (kama waliweza Uarabuni) ukiwaletea jeuri sana wana mbinu zote za kukudhoofisha.

Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.
Hujui historia dunia ....cjui unaropoka kutoka wapi yana unanipa hasira.....

Great kingdom comes from Africa... before colonialism and B.C
KAMA Huwawezi n ww na akili yako ndogo ya kuchambua Mambo!!

Egypt ilikua ni kitovu Cha cilivilization kaangalie America Kuna misingi ya nchi wameijenga kupitia kuigilizia utawala wa Misri
Mansa mussa ndo alikua mtawala tajiri dunian na dola yenye nguvu....

Colonialism imeenda Zaid ya miaka 1000 wakiua viwanda vyetu,kukata mikono masanaa wetu,kutuaminisha ss cyo Bora na ci chochote....miaka Zaid ya elfu 1000 c mchezo aisee....Hadi Leo we unafikira hizo ni matokeo hayo hayo ya white supremace,media influence na mental shaping ya mtu mweupe.....
So sikushangai

Ethiopia haiwez kuchomoka pekee ake wakati nchi za waazungu zinaungana kutunyonya na kutugandamiza!!....ndo maana na ulaya cyo nchi moja tajiri n ukanda!!


Zimbabwe : kinachotokea Zimbabwe ni kutokua na umoja Wass waafrika...tumevurugwa KILA Kona kwa kigezo Cha democrasia,....hatujiulizi UK inamfumo wake haujawai badilishwa!!

Wametufanya tugombane na tuchukiane tusiweze kuja kama kitu kimoja chini ya divide and rule....

Zimbabwe wangeitenga wazungu halafu nchi 54 za Africa ziipe ushirikiano unafikiri ingeteseka...Kwan wao n mungu !?
Lakin wameitenga nassi tumeitenga
Tofaut Sana na North Korea wazungu wameishit lakini bado inachochola kisa nchi kama China,South Korea ,zinaipa support...


Sasa ukisema hivo kama wazungu hatuwawezi wachina leo nawao wangesema hivo miaka ya 1940 leo wangekua wapili.....mkuu usiwafundishe watoto wako hivo ni hatar Sana !!....sorry kama kunasehemu nilikutukana
 
kwenda21,

Na ili ujue na uthibitishe kuwa hatutowaweza nakuomba niondolee Herufi Z katika hili Neno Mzungu kisha niambie linabaki neno gani hapo Ndugu.
Hilo n kiswahili kingereza n white pple hapo Kuna God wap...achen kumdhihak mungu nyie ukosefu wenu maalifa
 
Chochote unachojua Wewe hata uchawi, wenzako ndege zao tunaziona zinaruka juu, nyie huku nyungo zenu story tu, si mziweke watu wapige kazi, mwana acha ujeuri hatuwawezi
Mkuu kama unamfundisha mwanao hivi pole
 
Ndiyo ni watu kweli kabisa,ila hatuwawezi wazungu ni watu kweli,tatizo kuna watu hawataki kukubali uwezo walionao
Wakikwambia ufanye wanachofanya utaweza....we uko hapa wenzio wahawalaliii
 
Wanaweza baadhi,ndo maana kuna utabiri Wa hali hewa,mwana we kubali tu kiroho safi acha chuki lazima ukubali kimaarifa wametuzidi, ona simu unayotumia, ona magari, bila wao ungetembea na mguu toka mbeya hadi Dar.

Wazanzibar wangeogelea mpaka dar,magorofa makubwa mgepandisha tofali kwa mkono,moto tungekuwa tunapikicha uwimbombo na ulindi mpaka Leo,umeme hakuna,technology ya kuongezewa damu,maji,mambo ni mengi sana
Alokwambia vitu vyote vimegunduliwa na wazungu n nani....au hujui humo Kuna watu weusi,wachina,wahindi waarabu au Hawa wote we unaita wazungu
 
Tatizo kubwa ni ujinga wa mwafrika ndio maana hatupigi hatua . Angalieni nchi za south East Asia zilikuepo ni nchi masikini na miaka ya 60s nyuma tulikuwa nao Sawa Ila sasa ni nchi zilizopiga hatua angalieni Singapore, Thailand , Indonesia, Vietnam, china . Vietnam Marekani kapigana nao Kwa miaka 19 Marekani alisarender vita akiwa kashaisambaratisha na kuivunja vunja Vietnam Ila leo Vietnam ni nchi inayopiga hatua za hatari kiuchumi Kwa kuwa na viwanda vingi. Africa kuna shida
Huu ndiyo ukweli ndugu zangu, Wazungu kamwe hatowaweza kwa lolote, wametuacha mbali sana, kwenye kila kitu. Wakitaka lolote katika nchi za Africa linakuwa, (kama waliweza Uarabuni) ukiwaletea jeuri sana wana mbinu zote za kukudhoofisha.

Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.
 
Hilo n kiswahili kingereza n white pple hapo Kuna God wap...achen kumdhihak mungu nyie ukosefu wenu maalifa

Sasa kama Kuandika kwenyewe tu kwa Kiswahili Fasaha huwezi na unaandika Maalifa badala ya Maarifa uwezo wa Kujenga Hoja nami unao kweli?
 
Sasa kama Kuandika kwenyewe tu kwa Kiswahili Fasaha huwezi na unaandika Maalifa badala ya Maarifa uwezo wa Kujenga Hoja nami unao kweli?
Hapana kwasababu wewe unadhan kujua kiswahili ndo akili wakati mi naamini akili ni uwezo wa kupambanua Mambo!!! .....we unajua lugha yangu ya Kwanza n nn?? Au unaropoka tu....
 
Tatizo kubwa ni ujinga wa mwafrika ndio maana hatupigi hatua . Angalieni nchi za south East Asia zilikuepo ni nchi masikini na miaka ya 60s nyuma tulikuwa nao Sawa Ila sasa ni nchi zilizopiga hatua angalieni Singapore, Thailand , Indonesia, Vietnam, china . Vietnam Marekani kapigana nao Kwa miaka 19 Marekani alisarender vita akiwa kashaisambaratisha na kuivunja vunja Vietnam Ila leo Vietnam ni nchi inayopiga hatua za hatari kiuchumi Kwa kuwa na viwanda vingi. Africa kuna shida
Kuna twishen nataka nimlipie @ mzukulu #mzukulu
Maana anakichwa kigumu labda utamuelimisha aelewe.....
 
Back
Top Bottom