Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

Wazungu hatuwawezi na hatutowaweza

We bado ni mtumwa tu ,ndo maana mwaka 1884 bara la Africa liligawanywa na baadae tulikuja kupata Uhuru,ila hati bado wanazo wao
 
Ila ninachozumgumzia hapa ni uwezo Wa maarifa waliotuzidi,huo ndo ukweli,sisi tumewazidi heshima tu
 
Wanaweza baadhi,ndo maana kuna utabiri Wa hali hewa,mwana we kubali tu kiroho safi acha chuki lazima ukubali kimaarifa wametuzidi,ona simu unayotumia,ona magari,bila wao ungetembea na mguu toka mbeya hadi dar,Wazanzibar wangeogelea mpaka dar,magorofa makubwa mgepandisha tofali kwa mkono,moto tungekuwa tunapikicha uwimbombo na ulindi mpaka Leo,umeme hakuna,technology ya kuongezewa damu,maji,mambo ni mengi sana
Kabla ya sasa kuwazungumzia wazungu huko nyuma kuna mambo mengi yaliyofanywa na kugunduliwa na jamii zengine.
 
Mi huwa ni mbishi ila kwa hili sikuzote huwa sibishi

Class ziko hiv

#Muhindi anamuona mtu mweus takataka
#mwarabu anamuona muhindi takataka
#mchina na jamii zake anamuona mwarabu takataka
#na mzungu anawaona woote hao wa juu takataka
Hiyo kuona takataka kwa maana ipi? ubaguzi au nini?
 
Ila ninachozumgumzia hapa ni uwezo Wa maarifa waliotuzidi,huo ndo ukweli,sisi tumewazidi heshima tu
Hawajatuzidi kwa sababu wao ni wazungu ila hakuna anayekataa kuwa wamepiga sana hatua katika maendeleo.
 
wenzetu wanapotuzima ni kwenye ishu nzima ya uhuru binafsi na kukomaa na kitu kimoja mpaka kieleweke. kama ni jino atalisomea mpaka kieleweke, kama ni engine atakomaa na hicho hicho, kama ni sanaa ni hapo hapo.

sasa sisi hata hatueleweki, mtu upo sekondari unasoma masomo 9, jamani narudia tena tisa, tena kwa sylabus ya kikoloni na mpaka leo wanafunzi wanajifunza kuandika meseji zile za maneno matatu katika kizazi hiki cha simu, hapa mtu anasomea nini sasa.
 
Tatzo ni kwamba kichwani mwako tu tayar unatawaliwa kwa fikra.

Acha umbumbumbu wewe
Umbumbu kivipi,kwanini usikubali tu?Wewe darasani hakuna ambao walikupita kiakili?au kwenye kukimbia hakuna wanaokuzidi mbio?au bei ya corona inalingana na range rover? Kama unaona tofauti hapo na unakubali,basi na kwingine ni hivyohivyo mkuuu,
 
Huu ndiyo ukweli ndugu zangu, wazungu kamwe hatowaweza kwa lolote, wametuacha mbali sana, kwenye kila kitu. Wakitaka lolote katika nchi za Africa linakuwa, (kama waliweza Uarabuni) ukiwaletea jeuri sana wana mbinu zote za kukudhoofisha.

Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.
Ngoja tumalize kujifukiza kwanza hapo ndipo watatujua sisi ni nani, kudadadeki.
 
Mkuu ni kweli wazungu ni viumbe waliopiga hatua,ila usiwatukuze kiasi hicho.

Haya mawazo yako nilikuwa nayo enzi zile nikiamini ndani ya redio kuna watu wanaishi,ndio wanaoongea.but baada ya kuja kugundua wenzetu ni wazuri katika kufocus na kitu kimoja,ndio maana wakaja na matokeo tunayoyaona leo.ni mazingira zaidi ya 100 tumedhihirisha kwamba watu weusi ni race yenye nguvu na akili kubwa kuwazidi,isipokuwa hatujaamua kuacha upuuzi.

Umeishawahi fikiria fundi garage anayerekebisha kifaa ambacho hata hajui kimegunduliwaje!!!tena kwa nyenzo ambazo hazimsaidii katika hilo??kinapona na kuendelea na kazi.

Miaka 100 ijayo nina uhakika,tutakuwa tumeishaudhihirishia ulimwengu sisi ni akina nani.
Kweli mkuu.. Tukipunguza kuchochana tutafika mbali sana, waafrika tumewekeza sana kwenye ngono

Yani kuna vitu kwenye mausha ili vije lazima kuwe na self isolation ya hali ya juu.. Hicho kitu waafrika tulifeli lakini naona kama tunaelekea kwenye mabadiliko, hata siku moja tajiri haendekezi zinaa.. Wazungu wengi utamaduni wao ni kufanya kazi na kikubwa ni hicho kuwa na focus.

“If you chase two rabbits, you will not catch either one.”

Sawa na msemo wetu wa kiswahili "Mshika mawili moja humponyoka"

Lakini pia kingine wenzetu hufanya vitu in a professional way yani hata kama kitu kinaonekana kidogo vipi.

Lakini huo ni utamaduni tu ambao sisi tunaweza kuiga.. Siku zote unapokuwa na mkubwa wako aliekutangulia inakuwa ni rahisi kujifunza kutoka kwake na kuepukana na makosa ambayo yeye alaliyafanya.. Kwahiyo sisi kama Afrika hiyo ni faida kwetu.

Cha muhimu serikali zetu zijenge mazingira mazuri.. Hapo tutafanikiwa kufanya kitu.
 
Mi huwa ni mbishi ila kwa hili sikuzote huwa sibishi

Class ziko hiv

#Muhindi anamuona mtu mweus takataka
#mwarabu anamuona muhindi takataka
#mchina na jamii zake anamuona mwarabu takataka
#na mzungu anawaona woote hao wa juu takataka
Sawa Mkuu,tofauti ni kwamba,wengine wote wanaikubali hali hiyo,waafrika hatukubali na nisababu mmoja wapo ya kuchukiwa na wote,tunafundisha na wengine hatu ukubali upuuzi huo
 
Wenzetu wamerahisisha kwa vitu vigumu vipatikane kirahisi na kama hakipo hapo kwao kikitoka nje Kodi ni rafiki mzungu anaweza kusafiri na kitambulisho tuu kwenye jumuiya yao wakati Nchi za Afrika bidhaa tu ili tufanye biashara leo wiki ya tatu border imefungwa eti tunahujumiana maroli yapo bado yapo foleni
 
Back
Top Bottom