shukran kwa ushauri,,lakini katika moja ya nipndvyo ni kufanya kama mojawapo ya utoaji wa huduma za kiofisi. kama mtaji unaruhusu, sina hakika sana kama naweza wekeza apo na mtaji ukatoshaUsifanye biashara kwa sababu umesikia flani inamlipa Sana au Ina faida Sana au Ni rahisi Sana uendeshaji wake.
Fanya zaidi kile unachokipenda kutoka moyoni,
hata Kama Ni kigumu kiasi gani nakuapia hakika mafanikio utayaona.
Computer 2 au 3 Internet kisha utatoa huduma zaasante kwa ushauri wako, lakin unaweza nifafanulia kidogo hasa huduma ambazo naweza toa na vifaa vyake vinaweza hitaji kiasi gani.
asante kwa ushauri wako, lakin unaweza nifafanulia kidogo hasa huduma ambazo naweza toa na vifaa vyake vinaweza hitaji kiasi gani.