Inategemeana na vitu vingi,ngoja wajuzi wa mambo waje. Biashara zipo lakini uwe tayari kwa lolote.Habarini members wenzangu
Nilikuwa naomba wazo la biashara ambayo inaweza kuingiza faida 20,000 na kuendelea kwa mtaji wa Million 3!
Nakaribisha mawazo yenu!
Kubet sio biashara kamili ni mchezo.Kabeti
Sawa kaka.usiwe unajichosha kujibu wapumbavu kaka
Sawa dadausiwe unajichosha kujibu wapumbavu kaka
Nunua Piki piki Au Bajaj Ujiunge na Bolt au Uber, uwez Kosa Hiyo Hela kama Unaendeesha mwenyew