PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,431
Habari wakuu?
Nimekwama naomba mnisaidie wazo la biashara angalau nisikose 20000 kwa siku..
Mtaji ni milioni 4 isizidi 5
Naomba pia maelekezo ya sehemu gani Arusha hiyo biashara itafaa zaidi.
Nikifanikiwa wazo zuri sitakuacha mikono mitupu.
Asante
Nimekwama naomba mnisaidie wazo la biashara angalau nisikose 20000 kwa siku..
Mtaji ni milioni 4 isizidi 5
Naomba pia maelekezo ya sehemu gani Arusha hiyo biashara itafaa zaidi.
Nikifanikiwa wazo zuri sitakuacha mikono mitupu.
Asante