Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,487
- 12,583
Pole kwa familia na chama kwa ujumla
Ni kweli wengi ni chovya chovya na mabint wanavyojilengesha kwaoSijatimba kipindi kirefu sana Palm Village ,next month nina Appointment na Millard Ayo nitacheck kama bado lipo.
Noma sana Anaconda kwasasa zipo za kukinga yaani gari zikishaanza kushobokewa price inapungua ipo siku zitafika hadi 20m ni swala la muda tu ,si umeona Range Sports ilikuwa 200m ila sasa Lukosi anauza 30m.
Hawa viongozi kwa nje wanakuwa wakimya ila wana mambo mengi sana ya hovyo ,wewe si uliona Mkuu wa mkoa kanda ya ziwa alikuwa anamla NDOGO binti tu mdogo 18 -20 ,wengi wameungua.
Huwa naona kama kwenye misiba ya masikini ndio majonzi yanakua makubwa zaidiWhat’s your point mkuu?
Zinasikitisha sana, sijui hata kwa nini wameruhusu video kuchukuliwa na kusambazwa.Tunaomba utuwekee Video au Sauti za vilio tuhakikishe.
Kwanini?Huwa naona kama kwenye misiba ya masikini ndio majonzi yanakua makubwa zaidi
Hopelessness feelingKwanini?
Misiba inaumiza, inakufanya uone kila kitu hakina thamani tena! Or else hukufiwa na mpendwa wako! Mali na fedha ni vya kupita tu, ni ubatili mtupu!Hopelessness feeling
Moyo umemsaliti mzee wa watu!
Alitaka atoboe 2030! Poleni wafiwa.
"Kifo ni kiboko yao"- Remmy Ongala.
Incumbent president is 4 years younger than lukuvi
Former president is 5 years older than lukuvi
Mwaluko K. has the same age as lukuvi.
Kuna machozi ya furaha katikati ya huzuni kuuBila shaka huyu ni mtu aliyeacha mali nyingi sana nyuma yake, Ameacha connections za kutosha kwa familia yake na Amefariki na miaka 70.
Ni Watanzania wachache sana wanapata bahati kama hii.
View attachment 3562781