WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali alizohudumu...
Wakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌.
Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana...
Ukienda msibani kwa Lukuvi, wameweka bango lenye maneno ya kwenye Bibilia kutoka 2 Timotheo 4:7
"Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda"
Wazee wa zamani naomba mnisaidie, William Lukuvi ambaye juzi Samia alimtumbua kabla ya watu kumtetea akarudishwa,
Kapigana...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.
Guys
I truly believe people are going to drink heavily today. Beer, spirits, everything. After all, the “black colonizer” of Ismani constituency has finally passed away
Honestly, I wouldn’t be surprised if TBL shares go up today, with all the celebrating going on.
We started with...
Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la Isimani.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Lukuvi amefariki dunia leo tarehe 25 Machi, 2026, majira ya saa...
Hon. William Vangimembe Lukuvi
Member Type : Constituent Member
Constituent : Ismani
Political Party : CCM
Phone : +255755333334
P.O Box : P.O Box 76999, Dar es Salaam
Email Address : w.lukuvi@bunge.go.tz
Date of Birth : 1955-08-15
Education History :
School...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.