william lukuvi afariki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Lukuvi atakumbukwa kwa mengi - Waziri Mkuu Nchemba

    WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali alizohudumu...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kumbe Chawa nao hufa bana!

    Wakuu, Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki? Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌. Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Eti "Nimevipiga vita vilivyo vizuri". William Lukuvi kapigana vita gani Vizuri? Nisaidieni

    Ukienda msibani kwa Lukuvi, wameweka bango lenye maneno ya kwenye Bibilia kutoka 2 Timotheo 4:7 "Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda" Wazee wa zamani naomba mnisaidie, William Lukuvi ambaye juzi Samia alimtumbua kabla ya watu kumtetea akarudishwa, Kapigana...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Niliongea na Lukuvi jana tukapanga kikao

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.
  5. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Ismani Independence Day? State Minister William Lukuvi dies at 73

    Guys I truly believe people are going to drink heavily today. Beer, spirits, everything. After all, the “black colonizer” of Ismani constituency has finally passed away Honestly, I wouldn’t be surprised if TBL shares go up today, with all the celebrating going on. We started with...
  6. HIMARS

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la Isimani. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Lukuvi amefariki dunia leo tarehe 25 Machi, 2026, majira ya saa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania CV ya William Lukuvi

    Hon. William Vangimembe Lukuvi Member Type : Constituent Member Constituent : Ismani Political Party : CCM Phone : +255755333334 P.O Box : P.O Box 76999, Dar es Salaam Email Address : w.lukuvi@bunge.go.tz Date of Birth : 1955-08-15 Education History : School...
Back
Top Bottom