Waziri wa Mambo ya Ndani aagiza Polisi Kanda Maalum ya Dar kumsaka na kumhoji Askofu Mwingira

Sasa kama atamua kusema kweli, na ikaonekana kweli mtachukua hatua gani. Mtaanika ukweli aliousema au? Mimi ningekua Simba ningekausha ama ningekanusha kuwa sio kweli tu basi.sasa Mkimhoji na waandishi waitwe ili maswali na majibu uma ujue. Hii ndy mbinu ya kuisafisha governmentalli ama Pastor !!
 
Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Ish! Sio kwamba iundwe tume huru kuchunguza haya marinjirinji ya ngosha na mashahidi wawe hao uliowataja kwan ndo wanufaika genuine wa matukio ya mwenda zake?
 
Kwa hyo mjadala wa KATIBA MPYA tunaupotezea kwa matukio ya kubumba na CCM dah?

Wapinzani tusitolewe kwenye reli tafadhari nchi nyinginhuwatumia viongoz wa dini kubadili upepo wa kisiasa

Hawa akina mwingira hawapo pale kidini wapo kimkakati kwa ajil ya dola


Laiti watanzania wangetumia hata 9% ya ubongo wao nadhan tungekuwa mbali Sana

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
"...ni ajabu kama yote hayo alitendewa na bado hakuwasilisha malalamiko kwenye vyombo vya dola inaleta ukakasi."

"...hivi kweli utendewe yote hayo muda wote huo ndiyo usubiri hasi Krismasi useme?!" Amehoji Simbachawene.

"....kwasababu yupo hapa Dar es Salaam na ametoa tuhuma nzito namna ile namuagiza sasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amwite na amuhoji kuhusu tuhuma hizo." Amesema Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Chanzo Millard Ayo.
Ben kapotea mmemkamta nani?

Jamaa anatuonaje
 
Kwani wakati Jiwe yupo kuna kitu kilikuwa kinaitwa kupata haki?Mihimili yote ilikuwa mfukoni mwake,Mwingira angeshtaki wapi?

Na bado yatazuka mengi tu,
 
Hii move ilikuwa expected maana wasingeweza kukaa kimya. Ni jambo jema though.

Mwingira akawataje hao waliomkosakosa kumuua mara tatu ili Simbachawene na jeshi lake wakawasake.

Kwenye issue ya “ushetani” na “kuiba kura” nahisi watajifanya kama vile hawakulisikia maana haikutajwa ni Ikulu au Serikali ipi
 
Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Wakujumuishe na wewe, kwani inaonekana kuna kitu UNAKIJUA!
 
Seikali ndio anayoishutumu kwanini na viongozi wa serikali wassitwe wahojiwe pamoja na mwingila..kisha waelekee mahakamani.

Halafu mwingila angsemea wapi kwa serikali ile ilivyokua dhalimu..ambayo mizizi yake ilijichimbia zaidi ya mihimili mingine.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeingia page ya millard ayo ya fb now ,sijaiona hiyo habari ya askofu mwingira kuitwa kuhojiwa na mkuu wa mkoa wa dsm
 
Back
Top Bottom