Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,397
- 18,009
Kifio cha Magufuli hakihitaji tume ya uchunguzi. Huyo ilikuwa lazima afe kwa namna yeyote ile ili Nchi yetu nzuri itoke mikononi mwa shetani.Simbachawene Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, unda tume huru ya kuchunguza kifo cha JPM .
.Usisubiri hadi 2025 wananchi wanahoji na Hakuna majibu na majawabu sahihi kuhusu kifo cha JPM.
Mwenyekiti wa tume hiyo awe Dr Bashiru Ally Kakurwa na mke wa marehemu JPM awe mjumbe wa hiyo tume.
Labda tuunde tume ya kusherehekea kufa kwa shetani Magufuli