Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Kumbuka na Nchemba naje anasoma Tanzania ni nchi pekee ambayo wanasiasa wanaruhusiwa kuibaka wlimu yetu kumbuka anuel nchimbi aliana kijiita Dr wakata bado ajaanza hata kusoma hiyo phd

Kuwa na PH.D hapa kwetu umekuwa ndio mtaji kwani toka Kikwete aitwe Dr. imekuwa rahisi kiasi kwamba kila waziri anataka kuwa Dr. hata kwa hila!! Waziri na naibu wake wote bado wanasoma sasa hiyo wizara nyeti kweli itawahudumia wananchi kujikwamua na matatizo ya uchumi?? Kikwete hajui umuhimu wa hii wizara na ndio maana amewaweka hawa vihiyo!! Lipumba is very right hiyo wizara inatakiwa kuongozwa na heavy weights na sio hawa lightweights wetu; hebu angalieni uzito wa mawaziri wa fedha wa majirani zetu ili muone aibu kidogo!! Comments za Lipumba hazina hata chenga moja ya negative gender bias bali ni ukweli mtupu!
 
What has that got to do with her qualification, people see things differently hayo ni maoni yako wewe. mfano uimara wa magari unayoyataka watumie wewe unajua ukoje isije ikawa hayawezi mudu infrastructure za barabara za sasa for the period of five years in their eyes, baadae tena watu waseme tunahitaji mikopo mingine.

Happy Feet,

C'on man, utaacha nianze kukuita Sad Feet!!!

Tunachojadili hapa ni Elimu ya huyu mama na kama hiyo Elimu aliyonayo inampa sifa za kukalia kiti cha Waziri wa Fedha,full stop! Inakuwaje wewe uulize kama elimu yake ina husiana na nafasi aliyopewa? Jibu hapa ni straigh forward kwamba lazima elimu yake ihusiane na nafasi aliyopewa. Nchi hii inatumia fedha nyingi sana kwenye gharama za kuendesha(running costs),kutengeneza(maintenance) na kuhudumia(services) magari aina ya mashangingi!!!Tembelea nchi kama Japan,Marekani,UK,Ujerumani n.k. utashanga kukuta kwamba Mawaziri wa nchi hizo wanatumia magari ya kawaida tu katika shughuli zao za kila siku! Hawatumii mashangingi,never!!!

Tulitarajia kwamba katika Watanzania milioni 45 Rais wako Kiwete angeliteua Mtanzania aliyebobea kwenye Fani ya Uchumi kwa ngazi ya Uzamivu yaani PhD na awe na uzoefu wa miaka 10 au zaidi katika fani hiyo ya Uchumi toka Idara nyingine yoyote hapa Tanzania au nje na awe amewahi kupata award yoyote kwenye fani hiyo.

Tanzania najua tuna Madaktari(PhD holders) na Maprofessors walioko Chuo Kikuu wanaofundisha Uchumi na mambo ya Fedha, tuna maeneo kama BOT kule kuna maofisa waliobobea kwenye maswala ya Fedha, kwanini Kiwete hakuona hilo??
Lakini pia kuna watu kama kina Professor Lipumba, Mwenyekiti CUF(T) ambayo amewahi kuwa mshauri wa mambo ya Uchumi enzi za Mwinyi na hatimaye kwenda Uganda kwa Museveni kwa kazi hiyohiyo.

Hivi kulikuwa na Dhambi gani kama Kiwete angelimteua Professor Lipumba kuwa Waziri wa Fedha ukizingatia kuwa CCM na CUF wana Serikali ya Umoja kule Visiwani na Katibu Mkuu CUF(T) Mhe. Shariff Hamad ni Makamu wa Rais Zanzibar? Kuna dhambi gani Lipumba akiwa Waziri wa Fedha Tanzania Bara????

Kulingana na maelezo ya huyu mama ndiyo kwanza anasoma PhD yake kupitia Chuo Huria(OUT)!
Je, nchi hii ni maskini ya Wasomi wenye PhD kwenye fani ya Uchumi na Fedha????Jibu ni NO! Kumbe ni maana ya Kiwete kumweka huyu mama kwenye nafasi hii nyeti???Bila shaka jibu analo Rais Kikwete mwenyewe. Lakini kwa mtazamo wa Watz tunaona hapa kuna NAMNA, na hiyo namna imebeba mambo mengi! Kuna swala la U-CCM ili kukinusuru chama na fedheha ya ukata wakti wa Uchaguzi ujao, lakini pia kuna swala la mahusiano binafsi kati ya Rais kiwete na Bi Saada Mkuya aidha KIFAMILIA au KIMAPENZI!
Tunajua Rais Kiwete ni MZEE WA TOTOZ, isije ikawa Bi Saada ni chakula ya mzee au...................!!!
 
Huyu dada naye angenyamaza tu, ukipigwa ikulu si muda wa kupiga makelele, bora kusikilizia mumivu na kujipanga tu.

huyu hajui kitu ,ni waziri wa fedha bomu ku;liko wote duniani....huyu subiri wakati wau bajeti kama hajatoa machozi huyu..si anajifanya anasoma mambo ya uzamivu haya mwezi wa 6 sio mbali
 
Ngoja nikwambie waziri wa fedha mara nyingi, anapimwa na stakeholders wake mfano wafanyabiashara wanakubalina na kodi zake (na impact ya faida na kufanya wateja waweze mudu bidhaa zao), changamoto nyingine ni priority za matumizi ya umma, je priortiy zake zinanufaisha vipi jamii and how inclusive they are especially to those who really need the services, ameweza buni namna za kuleta ajira na sera zinampa ushawishi mwekezaji (start up ya mfanyabishara mdogo, si sawa na large companies and faida zinaanza kuonekana kwa wakati tofauti, kodi zikoje) Ingwa mfanya biashara mdogo analipa kodi ajira ni kwa yeye mwenyewe au kwa watu wachache, hila leo vodacom akiona kodi imezidi na faida yake ni ndogo akifunga virago maelfu wanaathirika na ajira. Kwa hivyo wewe mpime kwa mahitaji yako na jinsi unavyoona atakavyofanya kutatua kero au namna zake za kuongeza mapato.

Hii kwa sasa ni wewe kuamua tu hawezi, bila ya kumpa muda. Ni sawa tukisema inaonekana hana mashahada ya kutisha, lakini tusihitimishe kazi itamshinda bila ya hata kumpa nafasi.


Hakuna haja ya kupeana muda kwani siku nzuri huonekana asubuhi!!!










 
bado cv yake ni ndogo kuongoza wizara ya fedha, huyu angetakiwa kuwa MG hata wa saccos. sio wizara nyeti kama wizara ya fedha, mdogo wangu ni kilaza alikosa nafasi ya vyuo vizuri bongo lakini Stamford cha Malaysia alipata, sijui mkuu wa kaya alifikiria nini....
 
Tusimlaumu sana Rais Kikwete kwa kumteua huyu mama kwa sababu kuu mbili 1. katiba ya sasa inamruhusu kuteua hata aliye darasa la saba kuwa waziri 2. CCM imefilisika, haina tena watu wanaofaa kushika nyadhifa za uwaziri ndo maana mtu kama Mwigulu eti naye kapewa unaibu. kwa kweli nchi hii CCM hawaiwezi tena. Cha msingi ni kubadili katiba na kuiondoa CCM madarakani ifikapo 2015 tuweke majembe halisi ya Chadema ulingoni. Hata kama katiba itakuwa bado kukamilika kwa mtazamo wangu baraza la mawaziri litakuwa linatisha kama ifuatavyo.. Rais DR. Slaa, waziri Mkuu Mbowe, Waziri wa sheria na katiba Tundu Lissu, Waziri wa mambo ya Ndani Godbless Lema, Waziri wa Mambo ya nje John Mnyika, Maliasili na Utalii Mchungaji Peter Msigwa, waziri wa ardhi Halima Mdee nk nk nk..... patakuwa hapatoshi..

kama kuna sehemu nilisikitika moyoni na kuona km taifa tumepotoka na kukosa uelekeo ama hatujui tuendako na ni nani watusaidie tufike huko,basi ni kuteuliwa kwa nkamia na nchemba
 
This is only made in tz...Prof.lipumba yupo try BT sis tutapingana na ukwel..elimu ya Wazir Saada ina walakin mkubwa

Alivyokuwa mshauri wa uchumi wa Rais Mwinyi alileta mabadiliko gani?
 
Ina maana huyu waziri pamoja na elimu yake yote hiyo hajui kuandika cv,maana cv isiyoonyesha ulikosoma huwa inaandikwa na s.t.d.7
 
Yeye ni Professor na atuambie amelifanyia nini Taifa kulisogeza mbele? Hili la kudharau watu kabla ya kuona utendaji ni tabia ya uchoyo wa kielimu!

mlishampatia nafasi ya kulitumikia taifa hili akashindwa au ni kale katabia kaccm kakuangalia mtoa hoja kama ni mwenzao au la,ccm ina tabia ya kupuuzia maoni mazuri tu ya kitaalamu kwasababu wanaoyatoa maoni hayo ni wapinzani,ccm haina tena uwezo wa kushindana kihoja na wapinzani,ccm hii ni dhaifu kupindukia
 
Yeye ni Professor na atuambie amelifanyia nini Taifa kulisogeza mbele? Hili la kudharau watu kabla ya kuona utendaji ni tabia ya uchoyo wa kielimu!

mlishampatia nafasi ya kulitumikia taifa hili akashindwa au ni kale katabia kaccm kakuangalia mtoa hoja kama ni mwenzao au la,ccm ina tabia ya kupuuzia maoni mazuri tu ya kitaalamu kwasababu wanaoyatoa maoni hayo ni wapinzani,ccm haina tena uwezo wa kushindana kihoja na wapinzani,ccm hii ni dhaifu kupindukia.
 
Tena sio mbali hata kidogo, angekonsentreti na yake akaachana na media

huyu hajui kitu ,ni waziri wa fedha bomu ku;liko wote duniani....huyu subiri wakati wau bajeti kama hajatoa machozi huyu..si anajifanya anasoma mambo ya uzamivu haya mwezi wa 6 sio mbali
 
huyu hajui kitu ,ni waziri wa fedha bomu ku;liko wote duniani....huyu subiri wakati wau bajeti kama hajatoa machozi huyu..si anajifanya anasoma mambo ya uzamivu haya mwezi wa 6 sio mbali

Mkuu bajeti siku hizi ni April.........bado miezi 2 tu
 
Jamani kelele zote hizi za nini? Wizara ile inaongozwa na watu makini sana. Yupo Dr.Likwelile (PST), na naibu wake Professor Adolph Mkenda, Naibu Katibu Mkuu. Hawa watu wawili ni wachumi waliobobea. Hawa wawili ndio watendaji wakuu wa wizara. Yule mama yupo pale Kisiasa tu. Hana lolote. Asiwapotezee muda wenu bure. Mwacheni dada wa watu, sio kosa lake.
 
Kumbe vyeti vyake vingi kavipatia OUT eeee...mpaka PHD?????? OUT kimbilio la midebwedo eeeee :angry:
 
Tatizo hapa tz kila kitu kinapangwa kisiasa na kwa maslai binafsi,huko nje wanamjua Prof lipumba kiuchumi siyo kisiasa. Tumia akili ndogo kujiuliza was she the right person to lead such a potential ministry
 
Happy Feet, C'on man, utaacha nianze kukuita Sad Feet!!!
Mkuu utakacho niita akita affect miguu yangu kucheza navyoweza happy feet will remain the same.

Tunachojadili hapa ni Elimu ya huyu mama na kama hiyo Elimu aliyonayo inampa sifa za kukalia kiti cha Waziri wa Fedha,full stop! Inakuwaje wewe uulize kama elimu yake ina husiana na nafasi aliyopewa? Jibu hapa ni straigh forward kwamba lazima elimu yake ihusiane na nafasi aliyopewa.
Kasoma biashara na uchumi halafu alikuwa kwenye kitengo cha fedha kwenye serikali ya zanzibar, kwa hivyo kuna experience na elimu ya kiaina, ingawa sioni ulazima wake.

Nchi hii inatumia fedha nyingi sana kwenye gharama za kuendesha(running costs),kutengeneza(maintenance) na kuhudumia(services) magari aina ya mashangingi!!!Tembelea nchi kama Japan,Marekani,UK,Ujerumani n.k. utashanga kukuta kwamba Mawaziri wa nchi hizo wanatumia magari ya kawaida tu katika shughuli zao za kila siku! Hawatumii mashangingi,never!!!
Nimewahi kuishi UK angalia kuna train ngapi zinatoka central london kwa saa kukata mitaa ya viongozi wao wanapoishi, urahisi wakufikia majimbo yao na magari wanayotumia, kuna njia ngapi za motor na qaulity zake kutembelea magari hayo, durability inayotokana na ubora wa miundombinu iliyopo.

Halafu sijui nchi nyingine lakini mawaziri wa UK wanatembelea ma-jaguar mpya au range rover mpya ambazo unaweza ona za kawaida lakini zina vikorombwezo kibao za matairi kuweza kutembea kilometa kazaa hata yakipewa pancha ya risasi, vio bullet proof, dereva wa serikali ambae (ni jasusi) analipwa full time. Bado waziri/mmbunge ana claim allowance anapotumia public transport, ana claim allowances kwa waajiri wake jimboni, ana lipwa allowance nyumba anayoka mjini london, kama hana nyumba analipiwa allowance ya hoteli usifannye mchezo na anasa za wabunge na mawaziri wa uingereza on top of that ana mshara wa £60,000+ na ushee kwa mwaka, ambao ni wake yeye maana wakiamua hata bill ya TV na simu wana claim.

Tulitarajia kwamba katika Watanzania milioni 45 Rais wako Kiwete angeliteua Mtanzania aliyebobea kwenye Fani ya Uchumi kwa ngazi ya Uzamivu yaani PhD na awe na uzoefu wa miaka 10 au zaidi katika fani hiyo ya Uchumi toka Idara nyingine yoyote hapa Tanzania au nje na awe amewahi kupata award yoyote kwenye fani hiyo.
Huko ni sawa na kuomba experience ya the late 'steve jobs' kwenye kampuni ya kichina inayotengeneza tablets kwa soko lao la ndani aimed at lower end of the market, labda ungafafanua changamoto zetu halisi kubwa na kipato chetu, uweke hata priority zako za uchumi hili wachangiaji kupima, watumiaji wakoje, gharama za mawazo yako zikoje, social benefits kutoakana na sera zako, takwimu, muda wa mafanikio, complexity of those social policy kwa sasa, halafu kweli tuone kama tunahitaji huyo candidate wako.

Tanzania najua tuna Madaktari(PhD holders) na Maprofessors walioko Chuo Kikuu wanaofundisha Uchumi na mambo ya Fedha, tuna maeneo kama BOT kule kuna maofisa waliobobea kwenye maswala ya Fedha, kwanini Kiwete hakuona hilo??
Nchi za ulaya zina maprofessor, hivyo sasa usishangae kuona mmbunge ana toa reference ya study iliyofanya somewhere in south america na ikatumiwa na nchi fulani europe (with a little bit amendments) na kutaka ikopiwe kwao pia kwa kuangalia sera zao na utamaduni (hiyo ndio elimu ya leo aina mwisho cha muhimu huwe na mistari ya kuelewa along the lines of discipline reasoning) kusoma hakuna mwisho, scholar ana-cover angle moja tu, whereby most disciplines are full of theories. Sasa sijui kwanini wewe unaona Phd ni mtu wa kubabaisha especially in political sciences, labda wa huko kwenda mwezini na kupasua vichwa vya watu.
Lakini pia kuna watu kama kina Professor Lipumba, Mwenyekiti CUF(T) ambayo amewahi kuwa mshauri wa mambo ya Uchumi enzi za Mwinyi na hatimaye kwenda Uganda kwa Museveni kwa kazi hiyohiyo.
Umewahi kusikia mapendekezo yake leo, si yeye ndie aliekuwa anadai gesi mtwara ibaki, wakati wewe unalalamika gharama za umeme, huyo kweli ana ethics za uchumi bado au tumbo kwa sasa.

Hivi kulikuwa na Dhambi gani kama Kiwete angelimteua Professor Lipumba kuwa Waziri wa Fedha ukizingatia kuwa CCM na CUF wana Serikali ya Umoja kule Visiwani na Katibu Mkuu CUF(T) Mhe. Shariff Hamad ni Makamu wa Rais Zanzibar? Kuna dhambi gani Lipumba akiwa Waziri wa Fedha Tanzania Bara
Concern ya Lipumba hipo kwenye recruiting consultant ya hiyo nafasi, akili yake ya huko kaamua kuipumzisha na kufanya siasa uchwara, anao huwezo mkubwa sana wakuchambua sera za sasa na kuziponda hafanyi hivyo sasa ana faida gani kama hataki hata kusaidia taifa in directly.
Kulingana na maelezo ya huyu mama ndiyo kwanza anasoma PhD yake kupitia Chuo Huria(OUT)!
Je, nchi hii ni maskini ya Wasomi wenye PhD kwenye fani ya Uchumi na Fedha????Jibu ni NO! Kumbe ni maana ya Kiwete kumweka huyu mama kwenye nafasi hii nyeti???
kwa sababu mmewaaminisha ukiwa na Phd ni vigumu kupingwa, unaonekana mjua yote hata kama mweupe tu, yap nimeshakutana na phd wazungu useless tu.

Bila shaka jibu analo Rais Kikwete mwenyewe kuna swala la mahusiano binafsi kati ya Rais kiwete na Bi Saada Mkuya aidha KIFAMILIA au KIMAPENZI!
Huko mi siko mkuu, labda kama unayajua utuelezee.
 
Siku hizi aliyenacho hupewa.!!! .kazi kwako jk.
 
Back
Top Bottom