Ni hivi kila nchi ina mkakati wake na changamoto zake kiuchumi na mipango ya maendeleo or to boost the economy which derive from current existing challenges.
Mfano unaingia madarakani, umekuta uchumi wako umezorota na deni la tiafa kubwa (ambalo linaongezeka kwa kukopa zaidi na intrest rate zinaongezeka kufanya deni lizidi kukuwa).
Kwa hivyo kama uliingia madarakani au unapoomba kura unasema agenda yetu kuu ni kutatua haya maswala, hivyo policies zinatungwa with debt reduction in mind and propelling economy. Sera utakuta za kupunguza tax hili kushawishi biashara, kutoa watu kwenye matumizi ya serikali hili kupunguza gharama, kubana matumizi ya sector zingine kama afya, elimu etc, kupunguza ukubwa wa serikali yako (wafanyakazi wa serikali) kupunguza unnecessary bodies, kuangalia cheapest tenders of course with quality of delivery, kuweka incentives in some areas to incourage sectoral growth all to do with the central theme, growth and cutting cost in order to meet your promises.
Kwa sasa sera kuu ya uchumi ya Tanzania ni kilimo kwanza, kwa hivyo jitihada kubwa zinalenga kumnufaisha mkulima na kusambaza bidhaa zake ndio maana unaona kuna much effort kwenye kutoa mazoa bora, kilimo cha kisasa, miradi ya kopa n'gombe lipa n'gombe and less effort is directed elsewhere. Kwa maana hiyo kikubwa kwa waziri wa uchumi ni kuangalia huku off course not to ignore other social needs, but the main policy is the target.
Au wewe unadhani kazi ya waziri wa fedha ni nini?