Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Ameshaulizwa lolote juu ya maoni yake kuhusu lolote na wadau wowote. Kuna msemo unaosema usipojua unaomba nini, utapewa chochote.
Si lazima aulizwe bali ni WAJIBU wake kama kiongozi wa wananchi awatumikie wananchi kwa kuweka bayana what she's intending to accomplish during her tenure. (Both short and long term goals)
 
Nilitarajia shahada ya kwanza iwe kasoma SUZA au UDSM,kikwete unaua Nchi huyo Waziri Kanjanja.
 
Ngoja tumsaidie huyu Dada maana naamini ni memba tu humu JF
Mimi ngelikuwa ndiye Waziri Mteule ningeanza kuwaonyesha watanzania mambo yafuatayo:-
1. Katika Bajeti yangu ya Kwanza (2014/15), ningefuta ununuzi wa magari yote ya thamani Serikalini kwa ngazi zote isipokuwa mawaziri na Wakuu wa Mikoa. Badala yake ningeruhusu ununuzi wa RAV4, SUZUKI na Hard Top tu, kwani anaweza kutoa mwongozo huu. Sambamba na hilo, ningetangaza kuyapiga mnada magari yote ya thamani ya Serikali yanayotumiwa na Wakurugenzi, Makamishna, Makatibu Wakuu na mfano wake kwa nchi nzima. Kwani kimsingi hali ya Miundombinu yetu kwa sasa inaridhisha hivyo hatuna sababu ya kutumia magari haya. Hakuna sababu kwanini Mkurugenzi afuatwe na V8 masaki, Osterbay au Tabata hali ya kuwa afisa wake mwenye cheo cha principal anaekaa Chanika anatumia Vitz yake. Ni wakati wa kubadilika watanzania haya magari si kwamba gharama tu kuyanunua, lkn pia ni gharama ya kuya-run, na wengi wanayatumia kwa shughuli binafsi hadi weekends. Hili lingeonyesha mweleko wake katika matumizi ya Serikali ambacho ndio kilio kikuuu cha Nchi.


2. Misamaha ya Kodi iliyopo kisiasa yote ningeifutilia mbali, bila kujali malalamiko yatakayotolewa na wadau. Hakuna ubishi kwamba Taasisi zinazopokea misamaha ndizo zenye huduma ghali kuliko kawaida.

3. Ningeanzisha mchakato (kwa kushirikiana na mamlaka za ajira zilizopo) ajira za mkataba wa miaka 5 (renewable under performance) kwa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha (TRA, BOT, Posta nk). Hawa jamaa wamejisahau sana kupita maelezo, wao wanajua kutengeneza "deal" tu basi. Au ningeangalia namna ya ku-harmonize salaries zinazolipwa kwa Agencies zilizopo mfano TRA, BOT, EWURA, SUMATRA, TCRA, TMAA nk. Ni kwanini hizi taasisi zina mishahara mikubwa sana lakini ndizo zinazoongoza kwa poor performance isiyojali wananchi? Na ndizo zinazooonekana kupiga deal za ajabu ajabu. Na pia zinaongeza kudorora kwa ufanisi katika mawizara.

4. Tatu ningeanzisha mchakato wa "special vetting" (kwa kushirikiana na mamlaka husika za ajira) kwa waajiriwa wa taasisi hizi kujua uzalendo wao kwa Taifa na utayari wao wa kuishi kulingana na kipato halali cha kazi zao

5. Tano ningeondoa au kupunguza kiwango cha fedha wanazolipwa watumishi wanaosafiri nje ya nchi na badala yake ziongezwe kwenye mishahara badala ya kufanya watu wawe wacheza deals za safari za nje zisizo na tija. Pia ningekuwa serious zaidi ya Pinda kwenye suala la Posho wanazolipana. Sambamba na hilo, ningetoa muongozo wa kupiga marufuku mafunzo ya muda mfupi kwenda vyuo vya nje ya nchi. Badala yake wizara/idara zitafute wataalam au taasisi zilizobobea zije kutoa mafunzo hapa (hata kama watumishi hao walipwe posho sawa na nje). Hii Sera imeisaidia sana nchi ya Rwanda kupata wataalamu wazuri wa kuwafundisha watumishi wao ndani ya Rwanda.

6. Ningeanzisha mchakato mahsusi wa kuimarisha e-payments badala ya mfumo wa cash huu ambao unapoteza fedha nyingi sana. Pamoja na kupanua wigo wa Kodi effective na bajeti ijayo.

Hivi vingekuwa dira yangu na ikitokea nakutana na vikwazo vya wanasiasa, au mamalaka yoyote then ninge-resign uwaziri, naenda kuwa mwalimu na kusibiri kufa.


 
Si lazima aulizwe bali ni WAJIBU wake kama kiongozi wa wananchi awatumikie wananchi kwa kuweka bayana what she's intending to accomplish during her tenure. (Both short and long term goals)
Sera kuu ya maendeleo kwenye serikali ya CCM kwa sasa ni kilimo kwanza, kwa maana hiyo unategemea wawekeze huko sana na namna za mapato watajiamulia wao hili ku-meet their other priorities kwa maoni yao hata kama ni mishahara minono ya wabunge, posho za wafanyakazi wa serikali, safari zaa raisi et al.

Na mara kadhaa wadau wengine wamekuwa wakidai mishahara kama walimu au madokta wanaambiwa hela hakuna au vijana wakidai ajira waambiwa wawekezaji hawapo, sasa basi hapo ndio siasa za ushindani zinapoanza unakosoa sera zake na kutoa namna mbadala za sera zilizopo, mishahara tutoe huku tuweke huku, wawekezaji sera zenu zina red tape kubwa au tax code zinahitaji marekebisho and all to do with a better course of action (without those arguments ambazo wewe unamajibu nayo serikali itajiamulia tu).

Kama hukosoi kwa hoja alisi wewe kazi yako ni kuna madini sijui ohoo, muungano, mara ohoo msikubali ni mariasili zenu nyie wa local, all to do with kulalama without counter policies zenye manufaa kwa jamii ambazo zinazingatia wadau wengine, jamaa si wataona priority zao zipo sawa. Sasa hakueleze nini wakati wewe udai chochote chenye kumfanya aangalie anything differently.
 
Ngoja tumsaidie huyu Dada maana naamini ni memba tu humu JF
Mimi ngelikuwa ndiye Waziri Mteule ningeanza kuwaonyesha watanzania mambo yafuatayo:-
1. Katika Bajeti yangu ya Kwanza (2014/15), ningefuta ununuzi wa magari yote ya thamani Serikalini kwa ngazi zote isipokuwa mawaziri na Wakuu wa Mikoa. Badala yake ningeruhusu ununuzi wa RAV4, SUZUKI na Hard Top tu, kwani anaweza kutoa mwongozo huu. Sambamba na hilo, ningetangaza kuyapiga mnada magari yote ya thamani ya Serikali yanayotumiwa na Wakurugenzi, Makamishna, Makatibu Wakuu na mfano wake kwa nchi nzima. Kwani kimsingi hali ya Miundombinu yetu kwa sasa inaridhisha hivyo hatuna sababu ya kutumia magari haya. Hakuna sababu kwanini Mkurugenzi afuatwe na V8 masaki, Osterbay au Tabata hali ya kuwa afisa wake mwenye cheo cha principal anaekaa Chanika anatumia Vitz yake. Ni wakati wa kubadilika watanzania haya magari si kwamba gharama tu kuyanunua, lkn pia ni gharama ya kuya-run, na wengi wanayatumia kwa shughuli binafsi hadi weekends. Hili lingeonyesha mweleko wake katika matumizi ya Serikali ambacho ndio kilio kikuuu cha Nchi.


2. Misamaha ya Kodi iliyopo kisiasa yote ningeifutilia mbali, bila kujali malalamiko yatakayotolewa na wadau. Hakuna ubishi kwamba Taasisi zinazopokea misamaha ndizo zenye huduma ghali kuliko kawaida.

3. Ningeanzisha mchakato (kwa kushirikiana na mamlaka za ajira zilizopo) ajira za mkataba wa miaka 5 (renewable under performance) kwa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha (TRA, BOT, Posta nk). Hawa jamaa wamejisahau sana kupita maelezo, wao wanajua kutengeneza "deal" tu basi. Au ningeangalia namna ya ku-harmonize salaries zinazolipwa kwa Agencies zilizopo mfano TRA, BOT, EWURA, SUMATRA, TCRA, TMAA nk. Ni kwanini hizi taasisi zina mishahara mikubwa sana lakini ndizo zinazoongoza kwa poor performance isiyojali wananchi? Na ndizo zinazooonekana kupiga deal za ajabu ajabu. Na pia zinaongeza kudorora kwa ufanisi katika mawizara.

4. Tatu ningeanzisha mchakato wa "special vetting" (kwa kushirikiana na mamlaka husika za ajira) kwa waajiriwa wa taasisi hizi kujua uzalendo wao kwa Taifa na utayari wao wa kuishi kulingana na kipato halali cha kazi zao

5. Tano ningeondoa au kupunguza kiwango cha fedha wanazolipwa watumishi wanaosafiri nje ya nchi na badala yake ziongezwe kwenye mishahara badala ya kufanya watu wawe wacheza deals za safari za nje zisizo na tija. Pia ningekuwa serious zaidi ya Pinda kwenye suala la Posho wanazolipana. Sambamba na hilo, ningetoa muongozo wa kupiga marufuku mafunzo ya muda mfupi kwenda vyuo vya nje ya nchi. Badala yake wizara/idara zitafute wataalam au taasisi zilizobobea zije kutoa mafunzo hapa (hata kama watumishi hao walipwe posho sawa na nje). Hii Sera imeisaidia sana nchi ya Rwanda kupata wataalamu wazuri wa kuwafundisha watumishi wao ndani ya Rwanda.

6. Ningeanzisha mchakato mahsusi wa kuimarisha e-payments badala ya mfumo wa cash huu ambao unapoteza fedha nyingi sana. Pamoja na kupanua wigo wa Kodi effective na bajeti ijayo.

Hivi vingekuwa dira yangu na ikitokea nakutana na vikwazo vya wanasiasa, au mamalaka yoyote then ninge-resign uwaziri, naenda kuwa mwalimu na kusibiri kufa.
What has that got to do with her qualification, people see things differently hayo ni maoni yako wewe. mfano uimara wa magari unayoyataka watumie wewe unajua ukoje isije ikawa hayawezi mudu infrastructure za barabara za sasa for the period of five years in their eyes, baadae tena watu waseme tunahitaji mikopo mingine.
 
Sera kuu ya maendeleo kwenye serikali ya CCM kwa sasa ni kilimo kwanza, kwa maana hiyo unategemea wawekeze huko sana na namna za mapato watajiamulia wao hili ku-meet their other priorities kwa maoni hata kama ni mishahara minono ya wabunge, posho za wafanyakazi wa serikali, safari zaa raisi et al.

Na mara kadhaa wadau wengine wakidai mishahara kama walimu au madokta wanaambiwa hela hakuna au vijana wakidai ajira waambiwa wawekezaji hawapo, sasa basi hapo ndio siasa za ushindani zinapoanza unakosoa sera zake na kutoa namna mbadala za sera zilizopo, mishahara tutoe huku tuweke huku, wawekezaji sera zenu zina red tape kubwa au tax code zinahitaji marekebisho and all to do with a better course of action (without those arguments ambazo wewe unamajibu nayo serikali itajiamulia tu).

Kama hukosoi kwa hoja alisi wewe kazi yako ni kuna madini sijui ohoo, muungano, mara ohoo msikubali mariasili zenu nyie wa local, all to do with kulalama without counter policies zenye manufaa kwa jamii ambazo zinazingatia wadau wengine, jamaa si wataona priority zao zipo sawa. Sasa hakueleze nini wakati wewe udai chochote chenye kumfanya aangalie anything differently.
Mtazamo wangu mimi ni kuwa kiongozi yoyote anayewatumikia wananchi ni wajibu wake kuweka bayana kuwa atawafanyia nini wananchi na atafanya hivyi via press conference ama njia yoyote ile ambayo itawawezesha wananchi kupata ujumbe. Sio mpaka aulizwe na wananchi. Anatakiwa awe pro-active
Ndio maana hata governor wangu namwona from time to time akiweka wazi about what's going on in our state na atafanya nini ktk mambo mbali mbali.
Sasa ukisema huyo mama anieleze nini wakati sidai chochote nabaki mdomo wazi with a deer-in-the-headlight look on my face
 
Mtazamo wangu mimi ni kuwa kiongozi yoyote anayewatumikia wananchi ni wajibu wake kuweka bayana kuwa atawafanyia nini wananchi na atafanya hivyi via press conference ama njia yoyote ile ambayo itawawezesha wananchi kupata ujumbe. Sio mpaka aulizwe na wananchi. Anatakiwa awe pro-active
Ndio maana hata governor wangu namwona from time to time akiweka wazi about what's going on in our state na atafanya nini ktk mambo mbali mbali.
Sasa ukisema huyo mama anieleze nini wakati sidai chochote nabaki mdomo wazi with a deer-in-the-headlight look on my face
Governor wako kachaguliwa kwa kile alicho ahidi kukifanya, na atakifanya kutokana na ideology aliyoingia nayo, halafu huyu mama si governor yeye ni waziri tayari kuna sera ya uchumi kwa sasa (ambayo ni ya chama kizima) kwa maana hiyo unategemea ataendelea nayo hiyo hiyo, kilimo kwanza kikiwa as a priority.

Political decisions are shaped by demand kama watu 80% wapo concerned na kilimo huko ndio kutakuwa priority, ni jukumu la other stake olders kutoa demands and opposition parties kuja sera za kuwajumlisha wakulima na other stake holders. Kwenye nchi ya watu 45+ millions demands vary widely, sasa wewe unataka usaidiwe vipi na mko wangapi, mpaka uone umesahaulika isitoshe kama unaangalia kisiasa na uchumi huwe na facts tosha za gharama za hiyo sera yako na manufaa yake kwa taifa zima, vinginevyo ni kelele.
 
What has that got to do with her qualification, people see things differently hayo ni maoni yako wewe. mfano uimara wa magari unayoyataka watumie wewe unajua ukoje isije ikawa hayawezi mudu infrastructure za barabara za sasa for the period of five years in their eyes, baadae tena watu waseme tunahitaji mikopo mingine.

Uko sahihi kabisa, kama una kumbukumbu sahihi, hizi ndizo sababu za kufanya Tanzania itumie magari hayo kwamba miundombinu yetu mibovu hivyo tunahitaji magari ya namna hiyo. Hizo ni sababu za miaka ya 70 na 80, Je mpaka leo bado tuna miundombinu ya namna hiyo?

Je ni kweli RAV4 au Suzuki haziwezi kuwachukua Wakurugenzi wetu hapo Masaki au Mbezi? Ni mara ngapi kwa mwaka hao wakurugenzi wanaenda vijijini kwa shughuli za kusimamia projects za nchi, kama sio kwenda kiaina kutalii vijiji vyao. Na je Tanzania ni kisiwa kiasi gani? Mbona nchi nyingi zimejitahidi kuondoa haya magari makubwa kwenye mizunguko ya mjini? Je ushajiuliza aina ya magari wanayotembelea Japan-"Tiny Model". Tuwe wakweli, tunanunua V8 Brand New, inapandiwa na mtu mmoja na dereva wake then baada ya miaka mitano tunaiuza kwa laki 8 tena za kukopeshwa na mtu ambaye anaenda kuibadilisha plate namba na kuiuza kwa mil.40!! Tuna dhamira kweli ya kuleta maendeleo?

Na vipi kwa baadhi ya nchi (nyingi tu) zilizoendelea mbona zina "official buses za kuwachukua ma- senior staff wake? Kinaharibika nini? Nini kinazuia kutafuta mfumo rahisi na nafuu kwetu. Nini kinazuia kuweka mfumo mzuri wa usafiri wa mijini ili watumie public transport, mbona nchi nyingi tu zinafanya hivi? Why only Tanzania?
Kama anataka aonekane yuko juu ya V8, tutakukopesha liwe lako, na kukukata kwenye mshahara wako, sio tabu-Nchi nyingi pia zinafanya hivi. Hii nchi ni maskini sana, usione ww na mimi tuko huku tulipo tukidhani nchi nzima iko hivyo; we must be serious tunapotaka kuleta mabadiliko ya kweli si vinginevyo.
 
Governor wako kachaguliwa kwa kile alicho ahidi kukifanya, na atakifanya kutokana na ideology alieingia nayo, halafu huyu mama si governor yeye ni waziri tayari kuna sera ya uchumi kwa sasa (ambayo ni ya chama kizima) kwa maana hiyo unategemea ataendelea nayo hiyo hiyo, kilimo kwanza kikiwa as a priority.

Political decisions are shaped by demand kama watu 80% wapo concerned na kilimo huko ndio kutakuwa priority, ni jukumu la other stake olders kutoa demands and opposition parties kuja sera za kuwajumlisha wakulima na other stake holders. Kwenye nchi ya watu 45+ millions demands vary widely, sasa wewe unataka usaidiwe vipi na mko wangapi, mpaka uone umesahaulika isitoshe kama unaangalia kisiasa na uchumi huwe na facts tosha za gharama za hiyo sera yako na manufaa yake kwa taifa zima, vinginevyo ni kelele.
Kwa hiyo as a minister anatakiwa awe reclusive sio?
Naona tunatoka nje ya mada mkuu.
Back to the topic. Linaloongelewa hapa ni credentials na experience ya huyu mama vimekuwa ni habari ya mujini kwa sasa.
 
Uko sahihi kabisa, kama una kumbukumbu sahihi, hizi ndizo sababu za kufanya Tanzania itumie magari hayo kwamba miundombinu yetu mibovu hivyo tunahitaji magari ya namna hiyo. Hizo ni sababu za miaka ya 70 na 80, Je mpaka leo bado tuna miundombinu ya namna hiyo?

Je ni kweli RAV4 au Suzuki haziwezi kuwachukua Wakurugenzi wetu hapo Masaki au Mbezi? Ni mara ngapi kwa mwaka hao wakurugenzi wanaenda vijijini kwa shughuli za kusimamia projects za nchi, kama sio kwenda kiaina kutalii vijiji vyao. Na je Tanzania ni kisiwa kiasi gani? Mbona nchi nyingi zimejitahidi kuondoa haya magari makubwa kwenye mizunguko ya mjini? Je ushajiuliza aina ya magari wanayotembelea Japan-"Tiny Model". Tuwe wakweli, tunanunua V8 Brand New, inapandiwa na mtu mmoja na dereva wake then baada ya miaka mitano tunaiuza kwa laki 8 tena za kukopeshwa na mtu ambaye anaenda kuibadilisha plate namba na kuiuza kwa mil.40!! Tuna dhamira kweli ya kuleta maendeleo? Na je nchi nyingi zilizoendelea mbona zina "official buses za kuwachukua maseniro wake? Nini kinazuia kutafuta mfumo rahisi na nafuu kwetu. Kama anataka aonekane yuko juu ya V8, tutakukopesha liwe lako, na kukukata kwenye mshahara wako, sio tabu-Nchi nyingi pia zinafanya hivi. Hii nchi ni maskini sana, usione ww na mimi tuko huku tulipo tukidhani nchi nzima iko hivyo; we must be serious tunapotaka kuleta mabadiliko ya kweli si vinginevyo.
Sitaki kutetea anasa ya matumizi ya magari makubwa, hila kwa experience yangu mimi wakati naenda kumuangalia rafiki yangu mitaa ya kunduchi nikiwa na RAV4 kulikuwa na mvua nikakuta yale mashimo yetu. Hile naingia naona o-hoo mbona gari linazama jamani ikabidi nirudi, barabara hatari, yaani lami hipo kwenye main roads tu huko ndani dar-es-salaam tu hakuingiliki. Na tulipoenda kijijini kwetu hivyo visiki na mabonde si mchezo gari ilibidi iachwe, kumbuka sasa wabunge wetu wengi ni wa mikoa na wengi wanarepresent vijijini, hata Dr.Slaa anaepinga magari makubwa mbona aendi na MarkII, kwenye ziara za vijijini.
 
Kwa hiyo as a minister anatakiwa awe reclusive sio?
Naona tunatoka nje ya mada mkuu.
Back to the topic. Linaloongelewa hapa ni credentials na experience ya huyu mama vimekuwa ni habari ya mujini kwa sasa.
Anatakiwa afate mandate yao ya sasa, ambayo ni kilimo kwanza. Kama umenote sijasema ndio sahihi, hila anatakiwa apingwe kwa hoja na facts, thats how opposition become governments baada ya kuwashawishi watu jamaa sera zao zinaboronga sio elimu yao.
 
Aliyemteu huyu msichana ndio 'tatizo sugu' kwa mustakabali mzima wa nchi kwa sababu yeye haoni kuwa uteuzi wake una "tatizo".

Kwa ujumla uteuzi mzima wa Rais hivi majuzi umekuwa ni 'mzaha' mkubwa kwa Wa Tanzania. Nilipata kuwaaambia watu hapa baada ya uchaguzi wa 2010 kuwa ifikapo 2015 JK anawaachia WaTanzania nchi ikiwa ni mifupa mitupu (dont care type!). Nauona unaabii huu unaanza kujidhihirisha taratibu kabisa. Imefika wakati sasa WaTanzania wa 'gang up against this kinda of takes from JK'.
 
Anatakiwa afate mandate yao ya sasa, ambayo ni kilimo kwanza. Kama umenote sijasema ndio sahihi, hila anatakiwa apingwe kwa hoja na facts, thats how opposition become governments baada ya kuwashawishi watu jamaa sera zao zinaboronga sio elimu yao.
Kilimo kwanza kinaingiaje na credentials na experience yake hapa? Tafadhali nielimishe.
 
Nimeamini Prof. Lpumba alipatia, the lady is too junior to lead the ministry of finance and economic planning

Hawa watu watatutenda ile mbaya, waziri ni dumb-ass akisaidiwa na Mwigulu, hahahaha....
Hii ni hatari kuliko hatari yenyewe. Tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Tutapiga kelele weee, wenyewe wanasema kelele za chura hazimzuii mtu kuchota maji.
 
Kumbuka na Nchemba naje anasoma Tanzania ni nchi pekee ambayo wanasiasa wanaruhusiwa kuibaka wlimu yetu kumbuka anuel nchimbi aliana kijiita Dr wakata bado ajaanza hata kusoma hiyo phd

Naibu mwingine kwenye hiyo wizara nyeti naye amewahi kutiliwa shaka humu jukwaani kuhusu elimu yake
 
Kilimo kwanza kinaingiaje na credentials na experience yake hapa? Tafadhali nielimishe.
Credentials zake zitamfanya vipi ashindwe kutekeleza majukumu ya sera yao kuu ya uchumi kwa sasa (ingawa yeye si waziri wa kilimo au mifugo hila policies of development require liaison of ministries), maana huko ndio kuna hitaji manipulation kubwa kwa mujibu wa CCM hili kuleta maendeleo yetu.
 
Credentials zake zitamfanya vipi ashindwe kutekeleza majukumu ya sera yao kuu ya uchumi kwa sasa (ingawa yeye si waziri wa kilimo au policies of development require liaison of ministries), maana huko ndio kuna hitaji manipulation kubwa kwa mujibu wa CCM hili kuleta maendeleo yetu.
I still don't get it!
Bado sijakuelewa "kilimo kwanza" hapa kina uhusiano gani credentials/experience ya huyu mama as minister for finance kama Lipumba anavyoponda.
 
I still don't get it!
Bado sijakuelewa "kilimo kwanza" hapa kina uhusiano gani credentials/experience ya huyu mama as minister for finance kama Lipumba anavyoponda.
Ni hivi kila nchi ina mkakati wake na changamoto zake kiuchumi na mipango ya maendeleo or to boost the economy which derive from current existing challenges.

Mfano unaingia madarakani, umekuta uchumi wako umezorota na deni la tiafa kubwa (ambalo linaongezeka kwa kukopa zaidi na intrest rate zinaongezeka kufanya deni lizidi kukuwa).

Kwa hivyo kama uliingia madarakani au unapoomba kura unasema agenda yetu kuu ni kutatua haya maswala, hivyo policies zinatungwa with debt reduction in mind and propelling the economy. Sera utakuta zimelenga kupunguza tax (sana sana corporate hili wasifunge na watoe ajira) hili kushawishi biashara, kutoa watu kwenye matumizi ya serikali hili kupunguza gharama za serikali, kubana matumizi ya sector zingine kama afya, elimu etc hili kulipa deni, kupunguza ukubwa wa serikali yako (wafanyakazi wa serikali) kupunguza unnecessary bodies, kuangalia cheapest tenders of course with quality of delivery, kuweka incentives in some areas to incourage sectoral growth all to do with the central theme, growth and cutting cost in order to meet your promises.

Kwa sasa sera kuu ya uchumi ya Tanzania ni kilimo kwanza, kwa hivyo jitihada kubwa zinalenga kumnufaisha mkulima na kusambaza bidhaa zake (kama miundo mbinu ya barabara) ndio maana unaona kuna much effort kwenye kutoa elimu za kuzalisha mazao bora, kilimo cha kisasa, miradi ya kopa n'gombe lipa n'gombe and less effort is directed elsewhere. Kwa maana hiyo kikubwa kwa waziri wa uchumi ni kuangalia huku kwenye kilimo, off course not to ignore other social needs, but the main policy is the target.

Au wewe unadhani kazi ya waziri wa fedha ni nini?
 
Duh! Hivi mnajua kelele zote tunazopiga wadanganyika hazitasaidia kitu kwani ni uteuzi na siyo uchaguzi. Pia msisahau nyuma ya huyo mama kuna watu wengi wasomi,vihiyo, wanasiasa, wachapakazi, wezi etc..

Halafu kwanini msiwachambue makatibu wakuu..kwani wao ndio engine za wizara?......Mawaziri ni wabeba misalaba kuelekea Golgota sehemu wakataposulubiwa na siasa kwa ajili ya kubeba madhambi yetu ya kula hela za umma kwa shughuli za kichama au ufisadi..Hivyo ukiteuliwa kubeba msalaba huitajiki kuwa na elimu kubwa ya shule..unatakiwa kuwa na akili timamu na ya kimjini tu...
 
Back
Top Bottom