kichakakichaka
Member
- May 20, 2013
- 39
- 9
very interesting.. wasomi waliobobea na wachapa kazi wapo rundo lkn ....
very interesting.. wasomi waliobobea na wachapa kazi wapo rundo lkn ....
lipumba ni mdini
nyanokh oooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1Hivi lipumba vyeti vyake vimesaidia nini taifa hili make chama chenyewe kimekufa anachokiongoza leo anaanza kugombana na kubishana na watoto wa kike huyu mzee vipi kumbe kuwa na kichwa kikubwa siyo upeo wa mawazo.
KAka Mangikule haya mambo yanaonekana Tanzania tu halafu kazi BOT lazima uwe na experience miaka mi5 wakt minister ndo yupo shule anasomea anachokifanya duh kweli BOT shamba darasa
kutoka diploma hadi shahada ya pili wapi na wapi?
elimu yetu imekuwa ya makengeza namna hii?
serikali ya JK ni majanga.
Lipumba is more than right................
Hivi lipumba vyeti vyake vimesaidia nini taifa hili make chama chenyewe kimekufa anachokiongoza leo anaanza kugombana na kubishana na watoto wa kike huyu mzee vipi kumbe kuwa na kichwa kikubwa siyo upeo wa mawazo.
Hivi unadhani ulikuwa na sababu za msingi za msingi za kunitolea lugha ya kuudhi? Kijana, chunga sana vidole vyako wakati una-type; watu na ID karibu ya nne hii kwa ajili ya watu kama nyinyi.kwasababu we ni mpuuzi lazima upuuze unajua kama mbunge ameamua kuweka CV yake kwny tovut ya bunge ujue ndo ukweli wake wote uko hapo ulitaka akatafute wap ukweli?? shughlisha akili yako kwani alichoongea lipumba na huyo dada Mukya kuna tofaut we umeelewa education background yake??
Kama pangekuwa na direct relationship kati ya academic qualification na perfromance basi CUF kingekuwa ndo top coz' kiongozi wake ni highly educated with unquestionable credibility in terms of academic performance! Au kwenye uongozi wa chama hapana haja ya kuwa na performance? Do we need to go back to classes kujifunza kwamba tatizo la Tanzania halitokani na viongozi ama watendaji kutokuwa na elimu kubwa? Kule kwenye wizara, majority kwenye top posts ni Master Degree holders and even PhD tena kutoka best universities lakini utashangaa aliyetoka CBE na advanced diploma yake ana-perform vizuri na kuwacha hawa!Unataka kusemaje sasa???!!!!
Ulitaka CUF wawe na kiwanda cha cement au vipi???!!
Alilosema ndio hili linaendelea kujadiliwa sasa na tutajua mengi tu!!!!!!!
Kwa nini alipokuwa deputy minister hamkupiga unyende?
poor prof pu mba.
Mkuu OLESAIDIMU isije ikawa unataka kuhamishia zile bifu zako za EFD kwa huyu mama!!!! Manake ka' n'na wasiwasi hivi kwamba ulimsikia ile siku wakati akikomalia EFDs........na Wazanzibar wakikomalia kitu, hawana dogo...jiandae tu mkuu wangu na ile lak 8 yetu ya EFDs!!!!!!!!!!!!!!!!!It was within tolerable range!!!!
Kama pangekuwa na direct relationship kati ya academic qualification na perfromance basi CUF kingekuwa ndo top coz' kiongozi wake ni highly educated with unquestionable credibility in terms of academic performance! Au kwenye uongozi wa chama hapana haja ya kuwa na performance? Do we need to go back to classes kujifunza kwamba tatizo la Tanzania halitokani na viongozi ama watendaji kutokuwa na elimu kubwa? Kule kwenye wizara, majority kwenye top posts ni Master Degree holders and even PhD tena kutoka best universities lakini utashangaa aliyetoka CBE na advanced diploma yake ana-perform vizuri na kuwacha hawa!