Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 3,558
- 5,107
kumbe...bado yuko shule na huku akipata uzoefu wa kazi. nimeipenda
Kaka kumbe ulikua hujui? Waziri wa Fedha bado anasoma na Naibu wake Mwigulu nae bado anasoma. Wizara ya nyeti kama ya Fedha inafanywa Shamba Darasa. Only in Tanzania