peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,798
- 21,395
Shule Za msingi Tanzania zinafunguliwa Kesho Tar 11.4.2023 kwa kilio baada ya walimu wasio pungua 760 Moshi Manispaa kutangaza mgomo baridi wa kutokufundisha .
Hii ni KUTOKANA na mwezao kuwekwa Lockup na manyanyaso walimu wanayoyapata kutoka kwa afisaelimu (Ngonyani) hadi hapo atakapohamishwa au kushitakiwa kwa matumizi Mabaya ya Ofisi.
Kikao cha Siri kimefanyika kikihusisha baadhi ya maofisa waliopo division ya elimu msingi na walimu wasiopungua 700 ambapo pia wameunda GROUP la WHATSAPP ambalo nimeanza kazi na linahamasisha mgomo huo .
Katika mgomo huo, utahisisha walimu kufika kwenye vituo vya kazi ila ufundishaji wamejifunza mbinu ambazo Wanafunzi watafundishwa kinyume na utaratibu wa ufundishaji Ili kuhamasisha kufelisha badala ya kufaulisha.
Kauli mbinu ya mgomo huo ni NGONYANI AONDOKE MOSHI MANISPAA NA WALIMU HAWAHITAJI MADODOSO .
Chama cha walimu tuna Shukuru kwa ushirikiano wenu.
Sasa walimu wameona faida ya chama chao kipindi hiki cha matatizo na unyanyasaji mkubwa wa walimu Moshi.
Hii ni KUTOKANA na mwezao kuwekwa Lockup na manyanyaso walimu wanayoyapata kutoka kwa afisaelimu (Ngonyani) hadi hapo atakapohamishwa au kushitakiwa kwa matumizi Mabaya ya Ofisi.
Kikao cha Siri kimefanyika kikihusisha baadhi ya maofisa waliopo division ya elimu msingi na walimu wasiopungua 700 ambapo pia wameunda GROUP la WHATSAPP ambalo nimeanza kazi na linahamasisha mgomo huo .
Katika mgomo huo, utahisisha walimu kufika kwenye vituo vya kazi ila ufundishaji wamejifunza mbinu ambazo Wanafunzi watafundishwa kinyume na utaratibu wa ufundishaji Ili kuhamasisha kufelisha badala ya kufaulisha.
Kauli mbinu ya mgomo huo ni NGONYANI AONDOKE MOSHI MANISPAA NA WALIMU HAWAHITAJI MADODOSO .
Chama cha walimu tuna Shukuru kwa ushirikiano wenu.
Sasa walimu wameona faida ya chama chao kipindi hiki cha matatizo na unyanyasaji mkubwa wa walimu Moshi.