Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

Status
Not open for further replies.
Juma duni bwana, eti cuf inawaunganisha watanzania. Toka lini cuf inawaunganisha watanzania badala ya kuwabagua kwa dini zao? Na pia kwa maeneo?, je si cuf kwa kupitia Uamsho waliochoma makanisa zanzibar?. Eti anamalizia kwa kuibariki Tanzania, tanzania ipi? Wakati anaiponda tanzania na kuihusudu zanzibar? Viongozi wanafiki kama juma duni haji ni hatari kuliko ukoma!
 
Hivi Iran na Oman bado wanitumia bajeti CUF? (a.k.a uamsho) C/o Dr Amani Karume)
 
haina ubishi cuf ni ccm b,tena sio kwa ndoa halali ni ndoa ya mkeka.huyu jamaa ana kic..... Cha mwezi mchanga,waulizeni wanaomfahamu vizuri msimlaumu.
 
Mh Duni kapasua hajatukana, lugha tu inawapa shida, si unajua chadema vilaza kibao. Badala ya kuongea uzito wa hoja vilaza wanakimbilia kwenye hoja dhaifu. Hamuwezi hoja kaa kimya kwani kuandika lazima? Na hasa unapoandika pumba siku zote na hoja huna. Kusema ukweli humu ndani tupo si zaidi watu 6 tunaoweza kuandika la maana wengine wote Mapanya tu.
 
Kumbe huyu ni waziri. Huwa kwenye cabinet anachangia nini? Kama anashindwa kutofautisha waliounda serikali ya umoja wa kitaifa na wale wanoteuliwa kwenye tume au ubunge. Serikali ya umoja wa kitaifa maana yake mmeoana katika nyumba moja ili kuongoza serikali "daily running of government business". Hivyo kama serikali ikifanya madudu kule Zanzibar ni seikali yenu CUF na CCM. Na kwa kuwa mmependa boga mmepende na maua yake. Hivyo wanaofanya siasa wakiwaita nyie CUF, CCM-B msikasirike! Serikali ya umoja wa kitaifa ni mtoto kati ya CUF na CCM. Sijui kati ya hawa wawili baba ni nani! Pengine ni CCM au CUF. Katika hali kama hii CUF mkiambiwa aitha wewe ni baba au mama msikarike

Hata hivyo, Zitto au Marando kuteuliwa kwenye tume ni kitu cha wakati mmoja na wala hakiwezi kuwa na athari za kisera na vinginevyo kama ilivyo kwa CCM na CUF kuunda serikali moja.
 
Ukisoma haya matusi huwezi kuamini kama yametolewa na mtu mwenye akili timamu.

Hebu lioneshe tusi ni lipi hapo? Au huu ukweli ndio tusi? :

Kama kuna viongozi wanaweza kuiba wake za watu na kuja jukwaani kujisifu kwamba wao ni wezi wa wake za watu, je, wakiwa Ikulu watafanyaje hawa?
 
Kama cuf =ccm B
Basi CHADEMA =Kanisa dam dam

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu Ritz tuwe wakweli,hivi kweli kiongozi unaweza kutumia lugha ya kihuni hivyo? Hebu weka siasa pembeni na irudie tena hiyo makala.
Yeye kamalizia tu kwani lugha chafu kutoka CDM dhidi ya CUF ni nyingi hii ya CUF ndiyo wameanza.Ukikoroga lazima ulinywe
 
When all is said done bila umoja wa upinzani kuingoa ccm kwenye madaraka will remain a pleasing illusion to be pursued but never attained -borrowing Bobs words.

I support you bro! Duni's reaction ni kutokana na undumekuwili wa CHADEMA (Double stds). Tuwe wakweli kwenye politics tunaweza kufika. Tukubali ukweli hata kama unauma.
 
Kumbe huyu ni waziri. Huwa kwenye cabinet anachangia nini? Kama anashindwa kutofautisha waliounda serikali ya umoja wa kitaifa na wale wanoteuliwa kwenye tume au ubunge. Serikali ya umoja wa kitaifa maana yake mmeoana katika nyumba moja ili kuongoza serikali "daily running of government business". Hivyo kama serikali ikifanya madudu kule Zanzibar ni seikali yenu CUF na CCM. Na kwa kuwa mmependa boga mmepende na maua yake. Hivyo wanaofanya siasa wakiwaita nyie CUF, CCM-B msikasirike! Serikali ya umoja wa kitaifa ni mtoto kati ya CUF na CCM. Sijui kati ya hawa wawili baba ni nani! Pengine ni CCM au CUF. Katika hali kama hii CUF mkiambiwa aitha wewe ni baba au mama msikarike

Hata hivyo, Zitto au Marando kuteuliwa kwenye tume ni kitu cha wakati mmoja na wala hakiwezi kuwa na athari za kisera na vinginevyo kama ilivyo kwa CCM na CUF kuunda serikali moja.

Juma Duni amedharaulisha sana mawaziri wa SMZ.Kila wakipita mbele ya wananchi dawa yao ni kuwazomea.
 
Juma duni bwana, eti cuf inawaunganisha watanzania. Toka lini cuf inawaunganisha watanzania badala ya kuwabagua kwa dini zao? Na pia kwa maeneo?, je si cuf kwa kupitia Uamsho waliochoma makanisa zanzibar?. Eti anamalizia kwa kuibariki Tanzania, tanzania ipi? Wakati anaiponda tanzania na kuihusudu zanzibar? Viongozi wanafiki kama juma duni haji ni hatari kuliko ukoma!

Huyu Jamaa ni janga la Taifa.
 
Juma Duni said:
Kama viongozi wanaweza kusema uongo wa kiwango cha uharo wa bata wakiwa nje ya Ikulu watakunya nini hawa wakiingia Ikulu? Kama kuna viongozi wanaweza kuiba wake za watu na kuja jukwaani kujisifu kwamba wao ni wezi wa wake za watu, je, wakiwa Ikulu watafanyaje hawa? Watawapanga foleni wanawake wote waliopo pale kwa uwezo wa madaraka yao ya urais na kuwalazimisha kufanya nao ngono.


Hivyo tunategemea hawa wakajenge nyumba ya umalaya pale Ikulu. Je, nyie ndiyo mnashangilia hayo? Eti kunja ngumi, ngumi gani ya wizi wa wake za watu? Eti kunja ngumi, ngumi ya kutengeneza vifo vya Watanzania wenzetu?


..kwa kweli MHARIRI amekosea sana ku-publish hii makala.

..alichoandika Juma Duni, na mifano aliyotumia[bata kwenda choo] haiendani na maadili yetu Watanzania.

..kwamba Juma Duni ambaye ni mzazi, waziri mwandamizi, na kiongozi wa CUF wa muda mrefu, kukaa chini na kuandika waraka wenye lugha ya matusi kiasi hiki, ni jambo la kushangaza na kusikitisha.
 
waandike makala hata hamsini, cuf walitu ika, wanatumika na wataendelea kutumika.......
 
Hao CUF na ndoa yao waliyofunga na CCM wangekuwa wanaishia huko kwao visiwani kwenye Baraza la Wawakilishi na wasionekane Dodoma kwenye vikao vya Bunge kwani hakuna la maana wanalofanya wakiwa Dodoma zaidi ya kukomba posho ya vikao pekee.
 
Tanzania bila ccm inawezekana na ikulu bila muungano wa vyama inawezekana waache waongee kama walevi pamoja na madaraka waliyonayo wanashindwa andika ,maneno mazuri kuwaelimisha watu wanatumia matusi kufikisha ujumbe mwisho 2015! WAO NA HAWARA YAO
 
..kwa kweli MHARIRI amekosea sana ku-publish hii makala.

..alichoandika Juma Duni, na mifano aliyotumia[bata kwenda choo] haiendani na maadili yetu Watanzania.

..kwamba Juma Duni ambaye ni mzazi, waziri mwandamizi, na kiongozi wa CUF wa muda mrefu, kukaa chini na kuandika waraka wenye lugha ya matusi kiasi hiki, ni jambo la kushangaza na kusikitisha.

Mkuu Mhariri amefanya sawa kumuanika huyu waziri alivyo na upeo mdogo.Wengi tulikuwa hatujui upande wake wa pili wa shilingi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom