Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 604
Duni ninayemfahamu,duni wa misimamo,ameshakuwa duni wa karatasi maana duni yule wa kweli asingeafiki cuf kujiunga na ccm znz adui muombee njaa.hii chadema hii itawaua mwaka huu.eti chadema inafurahia kuona wazanzibar wakiuwawa mtauwana wenyewe kwa upumbavu na unafiki wenu.kwanza kipindi mnauana chadema kilikuwa hakina nguvu kama sasa.na chadema haijawahi kuungana na chama chochote kukabiliana na kingine.v4c ni kielelezo cha vita ya ccm kuikabili cdm kwa kuitumia cuf.duni aongee atakavyoongea ni haki yake lakini cuf haipo kama zamani imedhoofu.bye bye jussa bye bye hamad rashid.