nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
...ndoa zenyewe siku hizi watu wanaenda bila jando basi ndio tabu zake hizi
halafu eti ni waziri, napata shaka sana kama mawaziri wote wapo hiviUkisoma haya matusi huwezi kuamini kama yametolewa na mtu mwenye akili timamu.
when all is said done bila umoja wa upinzani kuingoa ccm kwenye madaraka will remain a pleasing illusion to be pursued but never attained -borrowing bobs words.
yakhe kiswahili tu hakuna tusi hata moja labda kama wataka ufafanuzi lugha tukupatie au tuonyeshe tusi lipo wapi
Sijaona matusi yeyote hapo. Bali ni ukweli mtupu ameongea mheshimiwa.
Mkuu wangu Maundumula,
Yangekuwa matusi yasingeandikwa kwenye gazeti pendwa la Chadema Tanzania Daima.
Kama viongozi wanaweza kusema uongo wa kiwango cha uharo wa bata wakiwa nje ya Ikulu watakunya nini hawa wakingia Ikulu "Juma Duni"
Sasa na wewe Dr. Mzima unashindwa kuona mwanacuf mwenzako alivyowaaibisha? Sasa kama huyu ni waziri anaandika utumbo je itakuwaje akiandika mwakilishi wa mji mkongwe!?
Duni ana hoja duni kama lilivyo jina lake.
Viongozi wa CHADEMA wanaonesha udhaifu wao kwa kukosa furaha kuwaona wazanzibari wanasikilizana na nyinyi wananchi munafurahia hilo kwamba tuaachwe wazanzibari tuuwane na kwamba eti hicho ndiyo chama munachokitaka eti kiingie Ikulu. Msimamo huu wa CHADEMA ni kuthibitisha kwamba Wazanzibari kugombana ndiyo furaha ya viongozi wa Chama hicho
Ukisoma haya matusi huwezi kuamini kama yametolewa na mtu mwenye akili timamu.
Watuachie Tanganyika yetu..! Hiyo sumu ya kimuungano cha kinafki itawatafuna sana CUF...!!! Muwe na MSIMAMO...! Iko wapi ile slogan ya NGANGARI NGUNGURI...??? Mwanaume kamili hatetereki no matter WHAT..! Inakuaje kisiwani you are working with him, bara ni mpinzani wako?? Mnatufanya wajinga sana?? Huku wengi tumekomboka kifikra..!! Au mmesahau kuwa huku ndipo "Elim-dun'ia" imepewa kipaumbele kuliko UVUVI na kwenda madrassa...???
Ritz hamna mtu anapambana na cuf wala CDM hawana agenda ya kupambana na chama mfu kinachosema kipo kwenye serikali ya ccm kikitumikia ilani ya ccm ( huyo seif mwenyewe alivyokuja arusha alipokelewa na kada mkuu wa ccm arusha magesa mulongo) sasa unasemaje wakiambiwa ukweli wametukanwa hata vyombo vyote vya habari vya ccm vinawatetea sana cufHakuna matusi yaani nyie kuwambia wameolewa sio matusi wakiwajibu ndio matusi, Chadema, na CUF endeleeni kupambana ndio mtaji wa CCM.
Kabla ya kusema/kuandika kitu ni vema ukajiridhisha kuwa lugha inayotumika inaendana na mlengwa. Bungeni tulimsikia yule mwenyekiti toka Zanzibar akimuambia Mnyika kuwa 'anawashwa'. Inawezekana kwa tamaduni za Zanzibar ni jambo la kawaida kwa mwanaume kusema maneno kama hayo kwa mwanaume mwingine!
Lugha aliyotumia Duni si ya kistaarabu kwa watu wengi Tanganyika, ukizingatia Duni ni Waziri. Inakuwaje waziri mzima anakaa chini na kuandika neno 'uharo' kisha anaweka article kwenye gazeti? very strange!
Kwanza mtu anayeitwa waziri kweli hawa wanakila sababu ya kuungana na ccm maana huyu ni Lusinde na Nchemba type wa kule cuf a.k.a ccm- wife ( ccm-b). Hawa kwa sasa kuwatofautisha mpaka uvae miwani maalumu,
Kabla ya kusema/kuandika kitu ni vema ukajiridhisha kuwa lugha inayotumika inaendana na mlengwa. Bungeni tulimsikia yule mwenyekiti toka Zanzibar akimuambia Mnyika kuwa 'anawashwa'. Inawezekana kwa tamaduni za Zanzibar ni jambo la kawaida kwa mwanaume kusema maneno kama hayo kwa mwanaume mwingine!
Lugha aliyotumia Duni si ya kistaarabu kwa watu wengi Tanganyika, ukizingatia Duni ni Waziri. Inakuwaje waziri mzima anakaa chini na kuandika neno 'uharo' kisha anaweka article kwenye gazeti? very strange!