Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

Status
Not open for further replies.
Je yupo kiongoz aliesumbuliwa na serikali kama viongozi wa cuf. Yupo mfuasi wa chadema aliepata misukosuko kama wafuasi wa cuf?. Njoon znz chadema mukutane na makomando akina seif sharif,duni,machano mupewe somo la siasa.
 
Tatizo moja kwa Chadema ni kushindwa kujitambua na kujielewa kwa kudhani kuwa kufanya mabadiliko ni lele mama.

Kuna mengi yatatokea na wengi wataumia.

Lakin siwalaumu sana kwani wanafikiri kama vile nchi yao Tanganyika ilivyopewa uhuru mezani nao watapita njia hiyo hiyo.

Poleni sana
 
Nilipoisoma ile makala sikuona taswira ya uwaziri pale, iliniingia akilini kwamba zanzibar huitaji kuwa na uelewa mkubwa kuwa kiongozi
 
Asante mh. Duni; Chadema ni matapishi tu hayazuii watanzania kula mpunga wetu; wanafiki na wazandiki wapo Chadema; mh. Duni Chadema ikulu wataisoma Tanzania daima; wakitaka wajenge ikulu yao Arusha au Hai tutawapa michoro ya magogoni
haina shida..zitajengwa nyingi kweli kwa staili hii.....maana kuna ya lowasa monduli,sita,membe ......
 
Cdm jibuni hoja,co muporoje2.Cuf ni bab kubwa .Mukitaka nchi hii mucmueke kugombea urais yule mwizi wa wake za watu bali mumueke zitto.
EDIT....Halafu Tanganyika hatuwekani kama zanzibar
 
Nilipoisoma ile makala sikuona taswira ya uwaziri pale, iliniingia akilini kwamba zanzibar huitaji kuwa na uelewa mkubwa kuwa kiongozi

Ni kweli kwa lugha ile hata mhitimu wa drs la saba anaweza kuwa waziri.
 
Haya nyie cdm mulipoungana na ccm katika serikali ya halmashauri ya kigoma tuwaite vipi?

Chadema hawajawahi kuungana na ccm ndugu yangu kama juma duni kakuambia hivyo kakudanganya, pale waliachiana vipindi vya miaka miwili na nusu, kila mmoja atawale kivyake, kuna tofauti kubwa na hii ya cuf na ccm.
 
Nae Dr.Salaa uadilifu wake mashakamashaka,masharti ya RC mapadre hawaoi,yeye akawa na watoto 2, lkn kwenye siasa nako PS wake imani limshida,akadhumu mke wa mtu,IKULU?ha ha ha!
 
Labda unge-quote paragraph au sentensi moja tu ambayo umeona ni matusi kwa Chadema. Mi nimepitia makala yote sijaona tusi. Unless kama kukosoa au kuwaambia ukweli Chadema ndio matusi (kwa tafsiri yenu kichama). Hoja za viongozi wengi wa CUF ni ngoma nzito,jibu hoja acha kulialia mmetukanwa. Kama ulikuwa hujui huyo ndio Juma Duni Haji hoja.
 
Juma Duni Haji; you have been too long on words but short on substance! CUF = CCM B; period.
Serikali ya muungano wa kitaifa inatokana na vyama viwili CUF na CCM kwa hiyo kutokana na nguvu dhaifu ndani ya umoja huo wa kitaifa CUF has no option but to toe the line as dictated by the stronger partner of the two parties to the union ambayo ni CUF. kwa CUF hawana ujanja maana they are caught between a rock and a hard place! wataendelea kumeza shubiri (BUBUBU by election) kwani kujitoa ni kutema utamu. (Seif Shariff Hamad, Duni Haji na misafara ya magari na marupurupu ya umakamu wa Raisi na uwaziri)

Hata kule Uingereza Liberal democrats wantaniwa kuwa ni Conservative B au Tory B;
CUF=CCM B
 
Labda unge-quote paragraph au sentensi moja tu ambayo umeona ni matusi kwa Chadema. Mi nimepitia makala yote sijaona tusi. Unless kama kukosoa au kuwaambia ukweli Chadema ndio matusi (kwa tafsiri yenu kichama). Hoja za viongozi wengi wa CUF ni ngoma nzito,jibu hoja acha kulialia mmetukanwa. Kama ulikuwa hujui huyo ndio Juma Duni Haji hoja.

Mtukana matusi tangu lini akagundua matusi?
 
Juma Duni Haji; you have been too long on words but short on substance! CUF = CCM B; period.
Serikali ya muungano wa kitaifa inatokana na vyama viwili CUF na CCM kwa hiyo kutokana na nguvu dhaifu ndani ya umoja huo wa kitaifa CUF has no option but to toe the line as dictated by the stronger partner of the two parties to the union ambayo ni CUF. kwa CUF hawana ujanja maana they are caught between a rock and a hard place! wataendelea kumeza shubiri (BUBUBU by election) kwani kujitoa ni kutema utamu. (Seif Shariff Hamad, Duni Haji na misafara ya magari na marupurupu ya umakamu wa Raisi na uwaziri)

Hata kule Uingereza Liberal democrats wantaniwa kuwa ni Conservative B au Tory B;
CUF=CCM B

Message sent and delivered!
 
wewe kweli ukabila umekuvaa, kwani sisi tunahitaji upare au usukuma? Tunachohitaji ni uzalendo na uadilifu!

Sasa cheKakaa naomba nieleweke vzr,Nilikuwa sijui kama MNYIKA ni MPARE,nilijua ni MSUKUMA,sina shaka na usomi wake na uwezo wake,yani hamna weye akili ni nyinyi wa ARUSHA na KILIMANJARO tu.
 
Hakuna matusi yaani nyie kuwambia wameolewa sio matusi wakiwajibu ndio matusi, Chadema, na CUF endeleeni kupambana ndio mtaji wa CCM.

Hapo ninaweza kusema NYani haoni..... na bado sijatukana.

Ashakum si matusi, hawajui kiswahili hawa jamaa.
 
Chadema wameshikwa pabaya wanalialia.

Wana CDM jipangeni mumjibu huyo gwiji hoja kwa hoja.

Ukiishi kwenye nyumba ya kioo usitupe mawe.
 
Juma duni haji, ameandika vitu vyepesi mno hakika havina uzito wa kujibiwa,

ukweli ni kuwa cuf imeanza kuwa ccm-b ,kamilifu hasa baada ya kuingia kwenye serikali ya mseto, anapotolea mfano wa wa hamadi rashid 2001 yes mlikuwa wapinzani.
Ilitakiwa utofautishe mwenendo wa siasa kabla ya 2010 na baada ya 2010.

Pia ujue kuwa sio kila mara wa2 wakishirikiana na serikali wamekuwa b, ila yale matendo wanayoyafanya ndo yanadhihirisha u -b wao.
 
Juma duni haji, ameandika vitu vyepesi mno hakika havina uzito wa kujibiwa,

ukweli ni kuwa cuf imeanza kuwa ccm-b ,kamilifu hasa baada ya kuingia kwenye serikali ya mseto, anapotolea mfano wa wa hamadi rashid 2001 yes mlikuwa wapinzani.
Ilitakiwa utofautishe mwenendo wa siasa kabla ya 2010 na baada ya 2010.

Pia ujue kuwa sio kila mara wa2 wakishirikiana na serikali wamekuwa b, ila yale matendo wanayoyafanya ndo yanadhihirisha u -b wao.

Yakhe Duni kama ameandika vyepesi mwahangaika kitu gani kuyajibu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom