Mgendi.Ally
New Member
- Oct 9, 2012
- 2
- 0
CHadema ni tanuru na bomu.
Mkuu wangu bado nakubaliana na hoja yako kwamba huyu bwana alipata mtikisiko wa ubongo alipokuwa jela.
Kuna kitu kinanishangaza,siku za hivi karibuni Cuf wanaonekana kupambana na Chadema katika majukwaa mbalimbali ya siasa. Kwa mfano hivi majuzi walikwenda Arusha eti nikasikia wanaenda kuvunja ngome ya Chadema. Sasa swali la kujiuliza je Cuf ni wapinzani wa CDM au CCM.
Hii ni siasa ambayo inaonekana kukosa umakini sana,badala ya kuuza sera chama ambacho kilipaswa aidha kushirikiana na chama chenzake katika mapambano dhidi ya chama tawala cha CCM kinakuwa kinapambana na mwenzake.
Sipati picha eti CUF wanakuja na kauli mbiu ya V4C ambayo inaendana na M4C. Hebu tujiulize,nini tofauti ya Vision for Change na Movement for Change. Hivi karibuni nilimsikia Kiongozi mmoja wa CUF akidai wao ndio wa kwanza kuja na kauli mbiu ya V4C. Haya uwenda nyie CUF ndio wa kwanza lakini kama mnakuta chama kingine kinaitumia tayari,mnapaswa kuonyesha ubunifu zaidi kwa kuja na mbinu nyingine bora zaidi.
Sasa kama mna nguvu maeneo kama Arusha mnapaswa msimamishe wagombea wa udiwani alafu tuone nani ana nguvu kuliko mwenzake kati ya CUF na CDM. Mimi sio mkazi wa Arusha wala sipo katika vyama vyote hivyo 2 vya CDM na Cuf
Nimegudua leo kumbe MNYIKA MPARE ,siku zote nilijua ni MSUKUMA,CDM ya kanda maalum.DUNI HAJI KICHWA,kamua baba ustumie iridhi!
yakhe kiswahili tu hakuna tusi hata moja labda kama wataka ufafanuzi lugha tukupatie au tuonyeshe tusi lipo wapi
Kwa mawazo hakna ma2si ila kuitwa Kuu la Majambazi (Amrish Puri) DHAIFU ni TUSI na DHAMBI kubwa.
Mkuu wangu bado nakubaliana na hoja yako kwamba huyu bwana alipata mtikisiko wa ubongo alipokuwa jela.
mama yako kaachika kwa mwigulu?
wewe kweli ukabila umekuvaa, kwani sisi tunahitaji upare au usukuma? Tunachohitaji ni uzalendo na uadilifu!Nimegudua leo kumbe MNYIKA MPARE ,siku zote nilijua ni MSUKUMA,CDM ya kanda maalum.DUNI HAJI KICHWA,kamua baba ustumie iridhi!
Haya nyie cdm mulipoungana na ccm katika serikali ya halmashauri ya kigoma tuwaite vipi?
vip prof. Mke wake anaitwa eti nani?shekhe wasahau Slaa napata mtikisiko wa chini alipokuwa na upadri? Hala hala na wake zenu!
vip prof. Mke wake anaitwa eti nani?