Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Watapewa nafasi ya kujitetea?
Na pia tunaomba matokeo ya uchunguzi ya wekwe wazi
Na pia tunaomba matokeo ya uchunguzi ya wekwe wazi
Wewe ni nguin per se! Umewahi kusoma molecular biology?Inawezekana maji ya papai yalikuwa contaminated na Virus. Wamepima maji ya papai kudetermine presence of virus. They found it positive . I.e the virus was présent
Mk54
Kingwendu basiusiitumie misemo vibaya. Tathmin kaul yako. Ha2na kchaa anaye ongoza nchi, kata, mtaa wala kijiji ukweli ni kwamba mihemko yako inakusumbua! Unakua kimwili bila kuzishnda hisia zako
Wewe ni nguin per se! Umewahi kusoma molecular biology?
Nazani kwenye papai walichukua utomvu ambao unafanana kabisa na kamasi za binadamuIla swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba.
Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai.
Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection,
1molecular test-ambayo hi ndo wanatumia kipimo Cha PCR,,wanaangalia RNA ya virus,wanaconvert into DNA kuweza kubaini uwepo wa virus,bacteria.
2,Culture testing- hii vipimo vinakuwa cultured ili kukuza bacteria,virus.
3,Antibodies test-hii wanapima damu ili kuweza kubaini antibodies dhidi ya ugonjwa huska,
So sielewi Hawa wataalamu vipi walishindwa kutofautisha RNA ya virus na ile ya maji ya papai
Dr. Moremi anaonekana mrembo, 35 yrs bado wamo, isije kuwa ............................. naachia hapa🔬Dr. Moremi akielezea jinsi ya kuchukua vipimo & kupima Coronavirus. Sasa JPM anavyotuambia sijui mapapai, mafenesi, oil chafu & mbuzi anatuchukuliaje yaani? Vipimo vinavyoenda Laboratory vinakuwa controlled kwa sababu ya legal ya security kibaiolojia. Wao walipenyezaje vyao?
Wewe ni dokta?Pole dada nakuambia wakifuata sayansi utaibuka kidedea katika hili. View attachment 1439551
Rais JPM yale majibu ya positive yamemuuma sana hivyo nia yake ni kumtoa dada wa watu ili amuweke mtu atakayetoa Negative results..Inatisha sanaInasikitisha,sasa hawatatoa tena updates kisa wanasingizia mashine mbovu. Yaani hawa hawafai hata kidogo. Wameamua wananchi wao wafe.
Huyu lazima achukuliwe na mabeberu kama Mwele. Huwa tunawa-frustrate sana wasomi wa nchi hii hasa kwenye utawala huu. Inakera sanaYaani hii nchi. Mkurugenzi asimamishwa kazi.
Mkuu anaposema kuna watu wanalipwa na mabeberu kutoa matokeo ya uongo, ni wanaopima na kutoa matokeo, au Mkuu wa kitengo? Unafikiri Mkuu wa chuo akisimamishwa kazi sababu ya ufundishaji mbaya wa waalimu, ikaundwa tume kuchunguza, hao waalimu wapo salama.Huyo bosi mthibiti ubora nae anapima samples ndani ya maabara?
Unawajua TISS?🔬Dr. Moremi akielezea jinsi ya kuchukua vipimo & kupima Coronavirus. Sasa JPM anavyotuambia sijui mapapai, mafenesi, oil chafu & mbuzi anatuchukuliaje yaani? Vipimo vinavyoenda Laboratory vinakuwa controlled kwa sababu ya legal ya security kibaiolojia. Wao walipenyezaje vyao?
Kosa si lao...huyo mthibiti ubora wa maabara ndo anafaa awekwe mtu kati.Mkuu anaposema kuna watu wanalipwa na mabeberu kutoa matokeo ya uongo, ni wanaopima na kutoa matokeo, au Mkuu wa kitengo? Unafikiri Mkuu wa chuo akisimamishwa kazi sababu ya ufundishaji mbaya wa waalimu, ikaundwa tume kuchunguza, hao waalimu wapo salama.
Kwa hiyo serikali inavyotoa miradi kwa wageni inaendekeza ukoloni mambo leo?Kuna wakati lazima utumie akili. Nchi huru kukaribisha wageni kwenye jambo la kinchi ni ukoloni mambo leo. Kwa mfano unakuwa na tatizo katika familia yako, unamwita jirani as if huna competent person anayeweza kusolve tatizo hilo ni ujuha. Jaribu kila wakati kuanza na wako ndipo uende nje. Issue nani analipa ni suala lisilo na mantiki
Kwa hiyo anatakiwa asiwe na ujuzi wa wizara anayoongoza?Uwaziri ni managerial post bimkubwa. Think outside the box always
Hivi unafikiri Tanzania itakuwa na wagonjwa wachache, nini kinachokuaminisha hivyo wakati maambukizi yanatokana na misongamano?Tatizo lako naliona, ni kuwa mpo tofauti na mawazo ya Magufuli. Wewe unataka kuona kama machine yetu hapa Tanzania zinatoa majibu halisi, wakati yeye anaamini machine zipo Sawa ila majibu yanahujumiwa ili tuonekane hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi.
Kwa hitaji lake alikuwa na option mbili ya kwanza kama unayofikiria na ya pili ni kukonfuse hiyo machine ili aone ni nini! Kwa Magufuli sample ya mbuzi kukutwa na coronavirus anadhani aidha wapimaji wamehongwa wanajitolea data tu (usisahau vijijini ulipokuwa enzi zile unapima malaria wengi waliandikiwa ipo), au vifaa vinavyotumika vimewekewa corona kimakusudi na waliotuuzia. Hivyo kwake papai kukutwa positive ni kuonesha si machine ila ni hila
Hakuna kitu kama hicho...hizo ni siasa za kikomunisti.Ivi ni kweli papai limepimwa likakutwa na corona,,? Haini ingii akilini.
Lini tumedeal na Covid-19, sisi ni politics kwa kwenda mbele.Exactly...Nimeshangaa kuna watu walitaka serikali ikae kimya kwa hili...Mtoa mada yeye anaona wakifanya hivi basi hawadeal na #covid19.