Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Inawezekana maji ya papai yalikuwa contaminated na Virus. Wamepima maji ya papai kudetermine presence of virus. They found it positive . I.e the virus was présent


Mk54
Wewe ni nguin per se! Umewahi kusoma molecular biology?
 
🔬Dr. Moremi akielezea jinsi ya kuchukua vipimo & kupima Coronavirus. Sasa JPM anavyotuambia sijui mapapai, mafenesi, oil chafu & mbuzi anatuchukuliaje yaani? Vipimo vinavyoenda Laboratory vinakuwa controlled kwa sababu ya legal ya security kibaiolojia. Wao walipenyezaje vyao?

 
Ila swab kuweza kutofautisha kwa macho kuwa haikutoja kwa binadamu Ni vigumu Sana,,maana kunakuwa na unyevu tu kwenye pamba.

Macho hayawezi kudetermine kuwa huu unyevu umetoka kwenye mbuzi ama papai.

Kuna testing Aina tatu katika kudetermine infection,
1molecular test-ambayo hi ndo wanatumia kipimo Cha PCR,,wanaangalia RNA ya virus,wanaconvert into DNA kuweza kubaini uwepo wa virus,bacteria.

2,Culture testing- hii vipimo vinakuwa cultured ili kukuza bacteria,virus.
3,Antibodies test-hii wanapima damu ili kuweza kubaini antibodies dhidi ya ugonjwa huska,

So sielewi Hawa wataalamu vipi walishindwa kutofautisha RNA ya virus na ile ya maji ya papai
Nazani kwenye papai walichukua utomvu ambao unafanana kabisa na kamasi za binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🔬Dr. Moremi akielezea jinsi ya kuchukua vipimo & kupima Coronavirus. Sasa JPM anavyotuambia sijui mapapai, mafenesi, oil chafu & mbuzi anatuchukuliaje yaani? Vipimo vinavyoenda Laboratory vinakuwa controlled kwa sababu ya legal ya security kibaiolojia. Wao walipenyezaje vyao?
Dr. Moremi anaonekana mrembo, 35 yrs bado wamo, isije kuwa ............................. naachia hapa
 
Inasikitisha,sasa hawatatoa tena updates kisa wanasingizia mashine mbovu. Yaani hawa hawafai hata kidogo. Wameamua wananchi wao wafe.
Rais JPM yale majibu ya positive yamemuuma sana hivyo nia yake ni kumtoa dada wa watu ili amuweke mtu atakayetoa Negative results..Inatisha sana
Asichokijua Ugonjwa wa Corona Lab results ni takataka ila Shughuli yake haifichiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo bosi mthibiti ubora nae anapima samples ndani ya maabara?
Mkuu anaposema kuna watu wanalipwa na mabeberu kutoa matokeo ya uongo, ni wanaopima na kutoa matokeo, au Mkuu wa kitengo? Unafikiri Mkuu wa chuo akisimamishwa kazi sababu ya ufundishaji mbaya wa waalimu, ikaundwa tume kuchunguza, hao waalimu wapo salama.
 
🔬Dr. Moremi akielezea jinsi ya kuchukua vipimo & kupima Coronavirus. Sasa JPM anavyotuambia sijui mapapai, mafenesi, oil chafu & mbuzi anatuchukuliaje yaani? Vipimo vinavyoenda Laboratory vinakuwa controlled kwa sababu ya legal ya security kibaiolojia. Wao walipenyezaje vyao?

Unawajua TISS?
 
Mkuu anaposema kuna watu wanalipwa na mabeberu kutoa matokeo ya uongo, ni wanaopima na kutoa matokeo, au Mkuu wa kitengo? Unafikiri Mkuu wa chuo akisimamishwa kazi sababu ya ufundishaji mbaya wa waalimu, ikaundwa tume kuchunguza, hao waalimu wapo salama.
Kosa si lao...huyo mthibiti ubora wa maabara ndo anafaa awekwe mtu kati.
 
Kuna wakati lazima utumie akili. Nchi huru kukaribisha wageni kwenye jambo la kinchi ni ukoloni mambo leo. Kwa mfano unakuwa na tatizo katika familia yako, unamwita jirani as if huna competent person anayeweza kusolve tatizo hilo ni ujuha. Jaribu kila wakati kuanza na wako ndipo uende nje. Issue nani analipa ni suala lisilo na mantiki
Kwa hiyo serikali inavyotoa miradi kwa wageni inaendekeza ukoloni mambo leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako naliona, ni kuwa mpo tofauti na mawazo ya Magufuli. Wewe unataka kuona kama machine yetu hapa Tanzania zinatoa majibu halisi, wakati yeye anaamini machine zipo Sawa ila majibu yanahujumiwa ili tuonekane hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi.

Kwa hitaji lake alikuwa na option mbili ya kwanza kama unayofikiria na ya pili ni kukonfuse hiyo machine ili aone ni nini! Kwa Magufuli sample ya mbuzi kukutwa na coronavirus anadhani aidha wapimaji wamehongwa wanajitolea data tu (usisahau vijijini ulipokuwa enzi zile unapima malaria wengi waliandikiwa ipo), au vifaa vinavyotumika vimewekewa corona kimakusudi na waliotuuzia. Hivyo kwake papai kukutwa positive ni kuonesha si machine ila ni hila
Hivi unafikiri Tanzania itakuwa na wagonjwa wachache, nini kinachokuaminisha hivyo wakati maambukizi yanatokana na misongamano?

Huhitaji kuwa na PhD ya Epidemiology kujua kuwa Tanzania itakuwa na maambukizi mengi sana pengine kuliko hata hizo namba tunazoambiwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom