Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,209

Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
 
Wengi hamjui namna gharama za ujenzi unavyojengwa ili kupata gharama halisi, yeye ameweka data mezani wengine wanaleta porojo.

Mtoa mada bado hujaweka system ya maji taka. Iwapo majitaka ya kutoka kwenye kibanda hadi eneo ambalo ni centralized wa ajili ya majengo yote, hivyo kibanda kinaweza kufikia gharama ya TZS 16,000,000.

Wengi mnapenda kuweka vitu kienyeji bila kufuata plan halafu baadae mnawalaumu tena wataalam. Waulize timu ya wanasema gharama ni juu Kama wanajua Bei ya PVC Pipe class C ya plasco ya nchi 4 ni kiasi gani.
 
Ndugu muhandisi, usifanye watu wajinga, hizo bei za labour charge, unawalipa wachina au Hawa Hawa vijana wa mtaani? Maana huku kwetu hiyo pesa inamaliza kabisa nyumba,sasa hicho ni kinanda,mi naona unaleta story za serikali za kununua V8 kwa milioni 400+

Ukihoji wanasema ndio bei!hawajuhi huku kitaa hizo ndinga tunanunua kwa 200M tu,wao wanaweka dalali,usilete mambo ya kununua peni kwa shilingi elfu kumi!wakati kitaa inauzwa 200.
 
Hapo bado ujaweka Armoured cable ya kueleta umeme kwenye hicho kibanda...chukulia ni mita 100 kutoka eneo ambayo main panel hipo.

Tukiona vitu vizuri ulaya tunadhani vinajengwa bure...tuwe serious wadau.
Mkuu hapa Waziri Mkuu Majaliwa anataka cheap popularism at the expense of fani ya ujenzi, ambayo kiuhalisia haijui.
 
Kama tunapoteza ada kupeleka ng'ombe kama hizi shule basi tumekula hasara kama taifa. Ovyoo sanaa. Ww unakuwa kama wale national housing wanaojenga nyumba vituko eti wanasema milion50 asfu wanasema nyumba nafuu ovyoo sana.
 
Kama tunapoteza ada kupeleka ng'ombe kama hizi shule basi tumekula hasara kama taifa . Ovyoo sanaa. Ww unakuwa kama wale national housing wanaojenga nyumba vituko eti wanasema milion50 asfu wanasema nyumba nafuu ovyoo sanaa
Nimekuwekea mahesabu hapo, kama una kichwa cha panzi na hukwenda shule,hilo si shauri langu.
 

Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

Haujaweka gharama za tiles, za vitasa na bawaba, kupiga dawa ya mchwa, dpc na ulinzi wakati kinajengwa .

Amandla...
 

Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.
Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.
Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es salaam kwa sasa hivi.
Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.
Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

Huko sahihi.
Nikisoma story za JF na uzoefu wangu wa kujenga ni vitu viwili tofauti. Nimegundua wengi hawana uzoefu au wana jenga chini ya kiwango
 
Back
Top Bottom