Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,419
- 6,580
HahahaWatu wanachosubiri kusikia hakipo kwa wema. Lait presida kesho akatokea hadharani basi wanaouliza hawatafarijika kama ikipigwa parapanda.
So kinachoendelea ni kejeli na unafiki. Huku moyoni watu wakitamani asirudi Jumla.
Alisikika muuza Kibua akisema.