Anataka ndoa za jinsia moja tu hakuna kingine anachotakasijali kuhusu takwimu, najali hasa kilichofanyika uko mavijijini (REA) , umeme kama wote
processing mills zilizokua zinatumia Diesel sasa zinatumia umeme kupunguza gharama za uendeshaji,
unataka ufanyiwe nini hasa wewe mtanzania usiekua na shukrani ?
Hujali takwimu? Utajuaje kama unasonga mbele au unarudi nyuma? Hujui kuwa Waziri Mkuu alichozungumzia ni takwimu? Unaishi dunia ya wapi wewe usiyetilia umuhimu wa takwimu? Shukrani tunayo sana tu lakini leta takwimu za ukweli.sijali kuhusu takwimu, najali hasa kilichofanyika uko mavijijini (REA) , umeme kama wote
processing mills zilizokua zinatumia Diesel sasa zinatumia umeme kupunguza gharama za uendeshaji,
unataka ufanyiwe nini hasa wewe mtanzania usiekua na shukrani ?
Ni kisiwa karibu km 650 kuingia baharini kutoka Senegal na Mauritania Afrika MagharibiHii nchi iko wapi mlamu!
Ni kisiwa karibu km 650 kuingia baharini kutoka Senegal na Mauritania Afrika Magharibi
View attachment 1541022
Hivi REA ilianza lini?sijali kuhusu takwimu, najali hasa kilichofanyika uko mavijijini (REA) , umeme kama wote
processing mills zilizokua zinatumia Diesel sasa zinatumia umeme kupunguza gharama za uendeshaji,
unataka ufanyiwe nini hasa wewe mtanzania usiekua na shukrani ?
Hapo wala hakuna ubishi Mkuu. Ndio maana tunapendekeza aseme alinukuliwa vibayaMtoa mada ili kuondoa ubishi tusemi hivi:
'TANZANIA INAONGOZA KATIKA NCHI ZA AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI'!!
Maana huwa mara nyingi tunajishindanisha na nchi ambazo ni majirani zetu.
Cabo Verde 93%CDM kila kitu mna pinga
Wanaweza pia kusingizia kuwa sio Majaliwa aliesema ni Paul Makonda! Maana hawa jamaa huwezi kujua mambo wanayodiriki kutamka.CCM mseme tu kuwa labda PM alinukuliwa vibaya au alimaanisha East Africa! Vinginevyo tuleteeni takwimu kama alivyojustfy mtoa post!
"Usambazaji Umeme vijijini"Labda kwa kumsaidia zaidi Waziri Mkuu, viwango vya electrification vya nchi za Sub-Sahara Afrika ambavyo vinaizidi hiyo 80% ya Tanzania ni kama ifuatavyo;
Cabo Verde 93%
Comoros 81%
Gabon 93%
Ghana 82.3%
Mauritius 98%
Seychelles 100%
South Africa 91.2%
World Bank Source: Access to electricity (% of population) - Sub-Saharan Africa | Data
Hiyo ya "usambazaji umeme vijinini" sio ya Waziri Mkuu. Na hata hivyo, ukitenganisha kati ya urban electrfication na rural electrification kwa Tanzania basi utakuta rural electrification iko chini sana ya kiwango cha 80%. Inayotunyanyua Tanzania hadi kufika 80% ni urban electrification"Usambazaji Umeme vijijini"
hasidi hana sababu, hamna shukrani nyie watu, endeleeni kupondaHiyo ya "usambazaji umeme vijinini" sio ya Waziri Mkuu. Na hata hivyo, ukitenganisha kati ya urban electrfication na rural electrification kwa Tanzania basi utakuta rural electrification iko chini sana ya kiwango cha 80%. Inayotunyanyua Tanzania hadi kufika 80% ni urban electrification
View attachment 1541074
Sijui kama mataga wamekuelewaSiamini kwamba kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwamba Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme ameitoa yeye mwenyewe bila kuongozwa na washauri. Na kama ni washauri wake wamempa hizo taarifa potofu basi wanapaswa kuwajibishwa kwa kusababisha Waziri Mkuu kutoa kauli ya "uwongo" bila kujitambua.
Mtu yeyote mwenye akili na busara, kabla ya kutoa kauli kwamba Tanzania inaongoza Afrika kwa kusambaza umeme atataka kujiridhisha juu ya viwango vya kusambaza umeme vya nchi kama South Afrika, Botswana, Morocco, Egypt, ili usije ukatoa kauli ambayo watu wenye uelewa watakubeza.
South Africa hadi sasa kiwango cha kusambaza umeme nchini ni asilimia 91.2%. Misri na Morocco wao wanadai kiwango chao cha kusambaza umeme ni 100%. Mauritius wana kiwango cha 98%, Ghana wana 83%. Sasa labda Waziri Mkuu atueleze inakuwaje 80% ya Tanzania ni kubwa kuliko 91.2% ya Afrika Kusini, 83% ya Ghana, 98% ya Mauritius, au 100% ya Misri na Morocco?
Si mara ya kwanza kuona viongozi wetu wakitumia takwimu zisizo za kweli ili kuisifia Tanzania. Kuna wakati kiongozi mmoja alitamba kwamba SGR yetu itakuwa na treni ya kasi ya juu zaidi katika Afrika kwa spidi ya 150-170kmhr, wakati Morocco tayari wana treni zenye spidi zaidi ya hiyo.
Ni vema kuisifia nchi yetu, lakini acha tuisifie nchi yetu kutokana na takwimu za kweli badala ya propaganda za kisiasa.
Chanzo: PM: Tanzania ya kwanza Afrika kusambaza umeme