Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #81
Hapana waziri Mkuu sio mjinga, ila sasa unafanya niwe na wasiwasi na wewe. Title ta thread inasema amekosea, sasa kama amekosea kwa kutodhamiria au kwa makusudi, hilo ni yeye anajua na wala sio wewe au mimi. Na suala la Waziri Mkuu mjinga? Mie nadhani ni mtu mjinga atauliza swali kama hilo, kwa sababu kukosea sio ujinga.Unajuaje katoa kauli ya uongo bila kujitambua na hajadanganya kwa kudhamiria?
Waziri Mkuu ni mjinga?