naka123
Senior Member
- Mar 27, 2018
- 134
- 103
Shukrani inakujaje wakati ni wajibu wa serikali husika tena inaezeshwa kwa Kodi za wavujajasho walio wengi TZ...Tuache kufikiria Jambo Kama shukrani bali ni wajibu tena uliowekwa kisheria kupitia Katiba...I hate cheap political stuntssijali kuhusu takwimu, najali hasa kilichofanyika uko mavijijini (REA) , umeme kama wote
processing mills zilizokua zinatumia Diesel sasa zinatumia umeme kupunguza gharama za uendeshaji,
unataka ufanyiwe nini hasa wewe mtanzania usiekua na shukrani ?