mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,550
- 2,618
Habari wana JF,
Kwa wanaojua Kifaransa kuna clip nimekutana nayo inaonesha mtoa hotuba amechukizwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, na ameishtumu Ufaransa kubwa ni nchi inayoongoza kwa kulinyonya bara na nchi za Kiafrika inasemekana ni waziri mkuu wa Italia.
Video yake inatoa sub title zilizotafsiriwa wanaojua Kifaransa mtusaidie pia, lakini pia ni kwa asilimia kubwa nchi za Magharibi zimekuwa zikijinufaisha kwa nchi za Afrika either kwa kigezo cha misaada au uwekezaji kitu ambacho huwa hakuna uwiano wa faida baina ya sehemu mbili.
View: https://www.facebook.com/reel/194021087106900?s=yWDuG2&fs=e&mibextid=Nif5oz
Kwa wanaojua Kifaransa kuna clip nimekutana nayo inaonesha mtoa hotuba amechukizwa na matamshi ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, na ameishtumu Ufaransa kubwa ni nchi inayoongoza kwa kulinyonya bara na nchi za Kiafrika inasemekana ni waziri mkuu wa Italia.
Video yake inatoa sub title zilizotafsiriwa wanaojua Kifaransa mtusaidie pia, lakini pia ni kwa asilimia kubwa nchi za Magharibi zimekuwa zikijinufaisha kwa nchi za Afrika either kwa kigezo cha misaada au uwekezaji kitu ambacho huwa hakuna uwiano wa faida baina ya sehemu mbili.
View: https://www.facebook.com/reel/194021087106900?s=yWDuG2&fs=e&mibextid=Nif5oz