Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine

Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana.

Asema lengo la Serikali ni kutumia vyanzo vyote ili mradi vilete umeme wa uhakika na wa bei nafuu kwa mwananchi

Asema umeme wa maji ndio wa nafuu kuliko vyanzo vingine vyote

Alizitaja gharama za kuzalisha umeme kwa unit kwa shilingi za kitanzania kwa kila chanzo ni kama ifuatavyo:
  • Maji ni shilingi 36 kwa unit moja
  • Nyuklia ni shilingi 65 kwa unit moja
  • Solar na upepo shilingi 103 kwa unit moja
  • Makaa ya mawe shilingi 118 kwa unit moja
  • Joto Ardhi shilingi 119 hadi 120 kwa unit moja
  • Gas shilingi 147 kwa unit moja
  • Mafuta mazito shilingi 546 kwa unit moja
Muhimu kwa sasa ni huo umeme uwepo kwanza.
 
Back
Top Bottom