Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Leo mnamuona Mange kichaa!! Alivyokuwa anamtukana Lowasa alikuwa timamu?? Vumilieni MWIBA UNATOLEWA SEHEMU ULIPOIINGILIA
Tatizo hamufaham siasa za vyama vingi. Nina hakika huko CCM mnamwita Mange msaliti au amenunuliwa na upinzani. Kwani upinzani wa kisiasa sio uadui kama wengi walioko ccm wanavyofaham. Katika ushindani wa siasa iko kitu inaitwa reaching consensus, crossing the isle for the common interests or values. Kwa hiyo sio mbaya kwa pale hao wapinzani wakampongeza Mange kwa kufichua uovu. Sababu vita dhidi ya rushwa, ufisadi na maovu yote hiyo ni common cause ya kila mtu bila kujali mrengu wa siasa mtu alofungama nao.

Might is not right
 
Kujiamini kwingi na sifa kibaoooooo kumbe mpiga dili tena mtu na dada yake
 
Wale wachache waliotufikisha hapa na Makamba ni mmojawapo.Atenguliwe tu.
 
ndio mjijue mkiambiwa nyie ni wajinga gullible na wepesi wa kuamini mkubali tu

no wonder ndio maana mimba nyingi sana​
 
Lahaula huja baadae kama huyo mwamvita angejua mange yupo hivyo asingekubali kuwa shoga yake.Ila tunajifunza kitu baya linaweza kuwa na kheri mbele au kheri inaweza kuwa na shari mbele hili sakata linaibua mambo mengi na watu wengi wanaenda ku pay for the old score kwa sisi wachezea pembeni kazi yetu kusoma na kujitahidi kuelewa.
 
Jidada anakuonyesha anapatikana kwenye facebook, yuko whatsapp, instagram, ana zote 2G na 3G, battery yake iko 100%, halafu ni saa moja na dakika moja asubuhi yuko gado.

Hachomoi January, wala Mwamvita, wala Yusufu!
 
Hii kashfa kama kweli inamweka Januari pabaya- anamtumia sister yake for profit. This is worse than pimping.
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.


(Mazungumzo ya Sauti yameambatanishwa)

005b63a5fa8710a5ceac0c39f51af7d0.jpg

Mange hajawahi kuwa mkweli. kama alipata mtoto wa kwanza wa kike mweusi lakini akamdanganya mzungu wake anayeishi naye TEXAS eneo ambalo gharama za maisha ziko chini kuliko sehemu yeyote nchini Marekani.
 
Hivi hili suala linaendeleaje huko TZ? Si leo ndio ilikua itolowe ushahidi mbele ya waandishi wa habari?
 
DUUUUUUUHHHHHH hiii nchi yetu sheria ya mtandao ipo kutupofusha tusiyasikie haya kumbeeeeeeeeee tumewaonaaaaa hata kwa tochi
 
Back
Top Bottom