Gilda Mushi
Member
- Aug 20, 2015
- 35
- 20
Kwani leo imeisha?Hivi hili suala linaendeleaje huko TZ? Si leo ndio ilikua itolowe ushahidi mbele ya waandishi wa habari?
Kwani leo imeisha?Hivi hili suala linaendeleaje huko TZ? Si leo ndio ilikua itolowe ushahidi mbele ya waandishi wa habari?
Leo haija isha lakini angalau updates. Kulikua kuna uzi hapa wa update ya leo lakini naona umesha ondolewa. nao hiyo conferance si ilikua ianze saa 8?Kwani leo imeisha?
Nikiangalia hili suala ya January Makamba na Mtaliano.
- Takukuru na police walitakiwa wawe wameshaanza uchunguzi wao.
- Takururu na police lazima walitakiwa watowe tamko na sio kukaa kimya. Wananchi wanataka kujua kama January ni untouchable au wanangojea amri jeshi mkuu hatowe amri ya kuanza uchunguzi.
- Rais alitakiwa asimamishe kazi January ili uchunguzi ufanyika.
- Police walitakiwa watowe motisha kwa watu wengine walio na infomation kama za mtaliano wajitokeze kwani kwa uzoefu wangu kama ni kweli huyu mtaliano ni moja kati ya mamia waliolizwa na January. January hajaanza huu mchezo na mtaliano tu kuna wengi zaidi.
Hivi vyombo vya usalama vinatakiwa viwe
Duh, kweli mdau, sasa naamini. hivi sisi wabongo tutaendelea kweli kwa namna hii? mbona bado tuko nyuma sana.jana niandika hapa Hakuna cha mtaliano wala nini,tatizo WATZ wepesi sana wa kuamini
haiwezi kuisha bila kajamaa kutumbuliwaMuvie imeisha?
.......Gaidi ni huyu aliyefanya kazi hii !Madhalimu ni magaidi yenye vilemba yanayojibinua binua na kujitoa mhanga
.......asiye mswahili ni kuabudu sanamu na udhalimu ! ILAN RAMONSifa kuu ya mswahili
Unafiki
Umbea
Fitna
Majungu
Uwongo
uvivu
Kutojali muda
Uzururaji
............
.............
We mbona muongo hivyo? Mange ameomba msamaha wapi? Lete visibitisho hapa!!!!!Nadhani kuna kosa moja watu wanaweza kujikuta wanalifanya bila kujijua – kuingilia ugomvi na kesi zisizowahusu au kuzishobokea kwakuwa anayesemwa wanamchukia na wao pia. Ukifatilia historia ya Mange kumsakama January haikuanza jana wala juzi. Ni mtu ambaye watu wengi aliowahi kuwa na urafiki nao hapo kabla alitokea kugombana nao…mifano ipo mingi: Flora Lyimo, Shamim Koka, Eva Collection, Jokate, Hoyce Temu na Sinta – nikiamua kuwataja wachache. Na pia amekuwa bingwa wa kuibua ugomvi ambao baadae anakuja kuomba msamaha kutokana na kujikuta amekurupuka kuwachafua watu kwa chuki zake binafsi.
Sasa kamtukana na kumdhalilisha January Makamba kwa ishu ambayo ni wazi aliamua “kumuunganisha”. Sasa baada ya mzungu mwenyewe kuja na kumuomba msamaha hadharani, dada yetu Mange amerudi na kusema kuwa kwa nyakati zijazo watu wakitaka kumpa taarifa nyeti kama hizo wahakikishe taarifa hizo zina uthibitisho. Kwa mtu na akili zako unatakiwa uwe umeelewa kuwa hapa bidada alishirikiana na mtu kuiandaa hii kitu na akaitengenezea akaunti ya twitter. Baada ya haya, Mange akaomba msamaha ila watu wengine bado wameikomalia. Kama aliyeanzisha ameomba msamaha kwa kusema haikuwa na ushahidi, sielewi kwa nini wengine waikomalie…ni ulimbukeni, tuache kushabikia ugomvi tusiojua chanzo chake.