GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,786
Ila jamaa atakuwa na bahati mbaya sana. Kakaimu kwa siku 2 tu na kusimamishwa kazi juu. Anatamani hata asingepewa ukaimu huoYamesha tendeka. Marehemu kisha zikwa.Kwa nini kuendeleza maumivu kwa walio hai? Barua ya onyo ingetosha. Kama fedha zingelikuwa nje nje ka zamani sidhani kama huu uzembe ungelitokea...