Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,116
- 37,659
Askofu MAUNO
Anaihujumu serikali huyo askofu fake.
Anaihujumu serikali huyo askofu fake.
RC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoaKama mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuamrisha vipi waziri ashindwe?
RC na DC ni wenyeji wa kamati za ulinzi na usalama ktk maeneo yaoBro unasema waziri kote huko.. mteule wa raisi ka mkuu wa wilaya anampa order police ..
Reference maneno ya mwendazakei.. " ....sheria inawaruhusu kumweka mtu ndani 48hours..."
Wao ndio wathibitishe chanjo ni salamaWameshatoa enough data
Ni wakati sasa gwajiboy athibitishe tuhuma dhidi ya chanjo feki, content ya chanjo na madhara ya chanjo
Chief kaa chini tena ikiwezekana ingia darasani ukasome. We umeona wapi mtu aliyeko kwenye Local government (Serikali za mitaa) ana mamlaka kuliko aliyeko kwenye Central govenment? (Serikali kuu)RC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa
All the science za safety, efficacy na effectiveness zimeshatolewa… unfortunately you don’t listen because you have already fixed your mind towards a certain directionWao ndio wathibitishe chanjo ni salama
Kwa kutoa data za majaribio za muda mfupi, wa kati, na muda mrefu (10yrs +)
Shughuli Za mwenge zilipoanza nilijua kabisa wataalam wa zindiko wameamka.
Kuna mambo ndani ya Taifa letu yanafanyika mpaka unajiuliza wananchi kweli Tunaakili?
Hii inshu ya gwajima ni usanii Mtupu,Gwajima si mwanasiasa na wala hana ubavu wa kusimamia anachokisema.
Wanatengeneza huu usani kuwasahaulisha Watanzania matukio muhimu yanayolikabili Taifa Kwa sasa. Yaani juzi tu katibu mkuu wa CCM ametoa onyo halafu Jumapili gwajima anainua Pembe,anaachwa mpaka jumanne waziri anaagiza atafutwe ahojiwe. Jiulize Kwa nini iwe Leo? na waziri alikuwa anasubiri maagizo Kwa Nani ili atoe amri Leo.
RC na DC ni wenyeji wa kamati za ulinzi na usalama ktk maeneo yao
Nitake Virtual data kwani tupo kwenye video game? Kwahiyo sisi mnataka kutufanya ‘actual’ rats wa kupata ‘actual’ data sivyo baada ya miaka 10 sivyo? No thanks.All the science za safety, efficacy na effectiveness zimeshatolewa… unfortunately you don’t listen because you have already fixed your mind towards a certain direction
on the safety ya long term … unataka virtual or actual, because actual data pick as the timelines elapse
Nani katoa? Bongo bwana utakuta bwana shamba anaongelea issue za electronics...ajabau ajabu!All the science za safety, efficacy na effectiveness zimeshatolewa… unfortunately you don’t listen because you have already fixed your mind towards a certain direction
on the safety ya long term … unataka virtual or actual, because actual data pick as the timelines elapse
Wamwachie mwenyekiti MBOWE hatutaki hayo mazingaombwe yao. Waondoe tozo onevu na za kinyonyaji.,Watupatie Katiba mpya... Tunachoshwa na maigizo yao yasiyo na kichwa wala mkia!!!Serikali haina dhamira ya dhati kupambana na ugonjwa huu ambao death toll yake hakuna asiyeiona:
1. Waliopotosha ugonjwa awamu ile ndiyo wale wale ambao leo eti ni vinara wa kupambana nao.
2. Mikusanyiko ya watu ikiwamo mbio za mwenge, makanisani, misikitini, kwenye mabasi, masokoni, magulioni nk iko pale pale na bila tahadhari zozote kuchukuliwa.
3. Hakuna takwimu zinazotolewa kuhusiana na ugonjwa huu kiasi haieleweki tuko wapi na tunakwenda wapi.
4. Haupo mkakati wowote ulio wazi wa kupambana na ugonjwa huu.
5. Kupimwa Corona inaendelea kuwa ni kwa pesa na si kidogo.
6. Waathirika wa ugonjwa huu wanajigharimia wenyewe matibabu.
7. Serikali haitambui kuathirika kwa watu na ugonjwa huu ndiyo maana ya kuwaongezea tozo na kodi zaidi ndani ya janga hili.
8. Serikali inatoa chanjo bila kuzingatia masharti wala vigezo vyovyote kinyume na maelekezo ya mtengeneza chanjo.
#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe
Badala ya kuwahami watu chanjo na Corona kwa serikali amekuwa ni mwendelezo wa siasa.