Wewe unanjua sifa za kuwa Askofu, au unabwabwaja tu?Gwajima hana maadili na huo uasikofu wake ni utapeli tu,nashangaa Sana Kuna watu Bado wanamuamini Askofu tapeli.Yeye taaluma ya udaktari wa binadamu hana eti ndo anapinga chanjo ya korona kwa fake facts .Ina maana Gwajima ndo ana akili kuliko wanasayansi wote duniani aache uhuni wake.
Wao ndiyo wathibitishe na watoe scientific proof ya kuwa chanjo ni salama, inazuia ugonjwa na ina life span ipi.
acha wafu wazikaneAskofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima
--
Butiama.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( Takukuru) kumkamata na kumhoji mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya Uviko 19.
Dk Gwajima ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 17, 2021 katika kijiji cha Kyatunge wilayani Butiama akibainisha kuwa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo linaloivuruga wizara yake na Serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Credits: Mwananchi
Pia soma
- #COVID19 - Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia
Hata Mimi bado najiuliza hivi anapowadanganya waumini wake na wanapiga vigelegele akiri wanakua wamepeleka wapi jamani hivi kwenye jukwaa hill hakuna muumini wa gwajima aje atuambie wakati bwana gwajima anapojimwambafai kanisani.akiri zake yeye binafsi anakua amepeleka wapi?Gwajima ni mhuni tu Hana maadili kwa nchi ambazo Zina sheria za maadili huyu jamaa hakifaa kuwa mbunge,na pia ni tapeli na mlaghai ashandanganya anafufua watu ,rejea kisa cha Amina chifupa.Inaskitsha sn Kuna watu Bado wanamuamini.
Au wamtwange risasi kama walivyofanya kwa Tundu LissuWambambikie kesi ya ugaidi
Wakipatana Nenda Kavune Mle Pamoja 😂🤣😃Ndugu wakigombana. Beba jembe ukalime.
Nimecheka kwa sauti,nimefanya imagination Gwajima kamwagina makemiko kibao pamoja na vifaa kibao anabaki anatetemeka hajui achukue kemiko ipi aache ipi.Hajui achanganye nini.Kabaki katumbua macho tu.Anaongea Story zake atueleze kama anaweza kuthibitishaLeseni hiyo hiyo aliyotumia kutoa expert opinion ya kuwa dawa ni maji, sijui zimewekewa nini aruhusiwe kuendelea nayo kwenye kuthibitisha.
Aende kuchezea centrifuge huko maabara na test tube kuthibitisha madai yake. Yeye si anajua sana nini kimo ndani ya hizo vaccine kushinda wataalamu wa afya.
Serikali itajibu vipi madai yake bila ya yeye kuthibitisha kwanza uhalali wenyewe.
Gwajima asipotokea itatufanya tumuone muongo kweli kweli.
Jichunguze isijekuwa wewe ndio kilazaWaziri wa afya ana mamlaka ya kuamrisha jeshi la polisi? Hii nchi inaongozwa na vilaza watupu
Jibuni hoja kwa hoja na si kuweweseka kumkamata Josepht.Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji. Mimi ndiye msemaji wa masuala ya afya nchini, nimechoka kuvurugwa naagiza akamatwe popote na akahojiwe juu ya haya madai - Dk. Gwajima
--
Butiama.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Doroth Gwajima ameliagiza Jeshi la Polisi pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( Takukuru) kumkamata na kumhoji mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya Uviko 19.
Dk Gwajima ametoa agizo hilo leo Jumanne Agosti 17, 2021 katika kijiji cha Kyatunge wilayani Butiama akibainisha kuwa Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo linaloivuruga wizara yake na Serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Credits: Mwananchi
Pia soma
- #COVID19 - Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia
Kama mkuu wa mkoa ana uwezo wa kuamrisha vipi waziri ashindwe?Waziri wa afya ana mamlaka ya kuamrisha jeshi la polisi? Hii nchi inaongozwa na vilaza watupu