Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa Askofu Gwajima sasa kapitiliza katika kuwapotosha Watanzania kwenye matamko yake juu ya chanjo ya UVIKO-19 (Corona).
Askofu Gwajima kupitia ibada za kanisa lake amekuwa akitoa matamko mbalimbali yanayopinga chanjo ya maambukizi ya ugonjwa wa UVIKO-19.
Hii imekuwa ni kinyume na matamko ya Serikali kupitia viongozi mbalimbali wakiwemo Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel ambao wamekuwa wakihamasisha wananchi kupata chanjo ya kujikinga na maambukizi ya UVIKO-19.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake lililochapishwa na gazeti la Nipashe hapa chini ili kujisomea alicho ongea.
Askofu Gwajima kupitia ibada za kanisa lake amekuwa akitoa matamko mbalimbali yanayopinga chanjo ya maambukizi ya ugonjwa wa UVIKO-19.
Hii imekuwa ni kinyume na matamko ya Serikali kupitia viongozi mbalimbali wakiwemo Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel ambao wamekuwa wakihamasisha wananchi kupata chanjo ya kujikinga na maambukizi ya UVIKO-19.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake lililochapishwa na gazeti la Nipashe hapa chini ili kujisomea alicho ongea.