Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Mbona hata mbowe anaungwa mkono na wananchi lakini kaitwa gaidi na yupo magereza ?Hahaha huyu maza anachemka, hii sio namna bora ya kupambana na Gwajiboy, hawaoni anaungwa mkono na wananchi wengi?