uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,385
Nakushauri kijana biteko usidanganyishwe na nafasi ya unaibu wa waziri sijui nini hivyo ni vyeo visivyokuwa na mbele wa maana kwa TANGANYIKA kwasababu havitambuliki .
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world
Tunapata taarfa kuwa kuna mtu ameondolewa apo Ili kumuepusha kuchafuka kwa ufisadi na umepelekwa wewe kuficha aibu ya ufisadi wa zaidi ya bilion mia.....
Km kweli wewe ni mzalendo tunaomba anika ufisadi mkubwa kuwahi kutokea hapo au jiuzulu
Mtaficha kwa muda tu huu ufisadi km walivyokuwa wakificha dp world