luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Habarini za Majukumu wadau,
Kama kichwa cha habari kisemavyo, mamlaka ya maji Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani (DAWASA) wameshindwa kuwaunganishia wateja wapya huduma ya maji kwa sababu wanadai vifaa hamna.
Specifically, binafsi nimefanya malipo ya kuunganishiwa huduma ya maji katka ofisi ya DAWASA KIBAHA TC takriban mwezi mmoja na wiki zimepita mpaka sasa huduma iyo haijafika ktk eneo langu bali na kulipia gharama za huduma iyo
Katika kufuatilia KERO hii nikafika pale maili moja DAWASA karani mmoja akasema vifaa bado havija fika mpaka leo.
Waziri Aweso na Naibu Waziri Marryprisca tutatulieni kero hii kwani hivyo vifaa vinatoka mbinguni Mpaka vichukue majuma yote hayo?
Kama kichwa cha habari kisemavyo, mamlaka ya maji Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani (DAWASA) wameshindwa kuwaunganishia wateja wapya huduma ya maji kwa sababu wanadai vifaa hamna.
Specifically, binafsi nimefanya malipo ya kuunganishiwa huduma ya maji katka ofisi ya DAWASA KIBAHA TC takriban mwezi mmoja na wiki zimepita mpaka sasa huduma iyo haijafika ktk eneo langu bali na kulipia gharama za huduma iyo
Katika kufuatilia KERO hii nikafika pale maili moja DAWASA karani mmoja akasema vifaa bado havija fika mpaka leo.
Waziri Aweso na Naibu Waziri Marryprisca tutatulieni kero hii kwani hivyo vifaa vinatoka mbinguni Mpaka vichukue majuma yote hayo?