Habari za leo ndugu zangu?
Kwa miezi kadhaa sasa, wananchi wengi wa Kibaha wanaoomba kuunganishiwa maji kwa mara ya kwanza (wateja wapya) hawajaweza kupata huduma hiyo.
DAWASA Kibaha wanapokea maombi mapya, lakini hawatoi bili za malipo (control namba), wanadai wameishiwa vifaa.
Wadau tusaidieni kupaza sauti, kuna watu wameomba maji toka mwezi wa pili hadi leo bado hawajahudumiwa.
Foleni ya kusubiri huduma imekuwa ndefu mno, hali inayotengeneza mazingira ya rushwa.
===
Soma Dawasa Kibaha yarejesha huduma ya kuunganisha maji kwa wateja wapya
Kwa miezi kadhaa sasa, wananchi wengi wa Kibaha wanaoomba kuunganishiwa maji kwa mara ya kwanza (wateja wapya) hawajaweza kupata huduma hiyo.
DAWASA Kibaha wanapokea maombi mapya, lakini hawatoi bili za malipo (control namba), wanadai wameishiwa vifaa.
Wadau tusaidieni kupaza sauti, kuna watu wameomba maji toka mwezi wa pili hadi leo bado hawajahudumiwa.
Foleni ya kusubiri huduma imekuwa ndefu mno, hali inayotengeneza mazingira ya rushwa.
===
Soma Dawasa Kibaha yarejesha huduma ya kuunganisha maji kwa wateja wapya