Wazazi hawataki nioe Mchaga

Wazazi hawataki nioe Mchaga

Status
Not open for further replies.
Mmmmmh sa mbna style hyo kilimanjaro Yote Noma?? Hamna kitu mbaya kama ubinafsiiii kwakweli?? Sasa unataka kusema hao chaga pipo c bora wapare sasa

Mkuu wachanga fresh saana
Cc cute b
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unatutisha aisee ila kwa uzuri tu Mashalaaa, ndyo mana ma Brother tunapotea, raha ya mapenz nafsi iridhike, cyo eti unaishi ki machaaalee
 
Pole sana,kaka ni bora uache tu maana hao watu ni kero.kubwa sana,utakuja kuchukua mzigo usioweza kabisa,na utatusumbua,kaoe sehemu nyingine,wengine tumeshaongea vyoo vya like kwa kuoua uchagani,kifupi ni pasua kichwa,

Wewe hata kuandila huwezi utamwoa mchagga gani?? Punguani wewe oa mmakonde mwenzio
 
Hizi habari za kikabila zinatoka wapi!! Kama wewe ushajiridhisha na unachotaka toka kwake suala la ukabila linakujaje hapo!!
 
wao hawaoi bali wewe na hawajui preferences zako, ukiwafuata ipo siku hata ukioa huyo wanaemtaka watakucontrol hadi kwenye familia. Waelimishe tu mdogomdogo wako wazazi wa namna hiyo
 
wao hawaoi bali wewe na hawajui preferences zako, ukiwafuata ipo siku hata ukioa huyo wanaemtaka watakucontrol hadi kwenye familia. Waelimishe tu mdogomdogo wako wazazi wa namna hiyo

Yye ajue kwamba mke anakaa nae yeye,analala nae yeye,Ana nafasi.kubwa ya kuamua nini aaache na nn afanye,kama unaoa oa ila ujue kbsa kuwa hao wake wa huko ni tatizo
 
usioe ndugu yangu they are not people...they are moneymaker chaggax

80% arent what a man deserves in marriage, unaweza kuja kupata ugumu sana kupata happiness katika ndoa yako kwasababu wako aggressive sana ..ni mara mia ukaoe kwenu wala usidanganywe na ranging na maongezi yake kwasababu once you get in there is no reserve na tambua wazazi wako wanajua mengi sana, imeandikwa waheshimu wazazi wako kama unataka radhi yao.
 
Chaga si wanawake wa kula,Fanya nao mpenzi tu then mwisho wa siku sepa

Asiyewajua na mwache ajaribu ..tafuta kabila lingine hata kama watakuwa na matatizo lakini asije jiingiza kwenye matatizo ..ukiwabishia wazazi jiandae kujibeba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom