Bobwe2
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,708
- 2,885
Sio bara tu ambako wapo wazanzibar,hemu toka nje ya nchi uone wazanzibar walivyo tapakaaaNa pengine ndio sababu ya Wazanzibar wengi kuishi bara
Sio bara tu ambako wapo wazanzibar,hemu toka nje ya nchi uone wazanzibar walivyo tapakaaaNa pengine ndio sababu ya Wazanzibar wengi kuishi bara
Unapo sema kuna kiti cha tanzania UN unajua maana ya tanzania?Hakuna anayelalamika, tunawashauri tu kuwa huko UN kiti ni cha Tanzania sasa suala limeshajadiliwa nyumbani? Hapo ndipo patakuwa na swali, kwamba mambo ya ndani yameshindikana? Kama yameshindikana ni kwa jitihada zipi, bungeni, vikaooni au vipi
Tunawatakia kila la kheri katika kuitafuta haki, hata hivyo haki inaambatana na ukweli
Madai ya kupata kiti ni madai ya kuvunja muungano. Hilo sina tatizo kama litaamuliwa na wananchi
Tatizo ni sababu zisizo na kichwa wala miguu ambazo nyingi leo tunajua ni uzushi tu dhidi ya Tanganyika
Kwamba, ZNZ inanyonywa kiuchumi! upi huo na nani anaweza kumkamua ng'ombe asiye na ndama
Ndugu hao si wale waliotengeneza GNU au SUK? Mwalimu keshaondoka , wanafunzi ndio tatizo, hawaelewi jana walisema nini leo wanafanya nini ati, yakhe kwani imeanza leo? Kuanzia 1957 haya mambo tunayaona, kwako na umri ni mageniNa kama ndugu hao wamerudi kuwa wamoja na kumtambua adui yao basi mwalimu anabaki na upuuzi wake.
Nitajie taifa moja tu lililobeba wznz wengi kuliko Tanganyika.Sio bara tu ambako wapo wazanzibar,hemu toka nje ya nchi uone wazanzibar walivyo tapakaaa
Yeap, najua sana ndiyo maana nikasema ni kimoja tu. Vingine havipo muulize Pascal MayallaUnapo sema kuna kiti cha tanzania UN unajua maana ya tanzania?
HahahahaTuzanzibari tuchache .... ndio tunaleta figisu hizo....kama vp zipigwe kura
.....tuone
Kwa coment yako hii ni wazi lipo taifa la tanganyika ila kwa unafiki wenu mnalificha au mnaliogopa.Nitajie taifa moja tu lililobeba wznz wengi kuliko Tanganyika.
Umeishiwa hoja unataka msaada wa mtanganyika mwenzako asiejielewa kama ww?Yeap, najua sana ndiyo maana nikasema ni kimoja tu. Vingine havipo muulize Pascal Mayalla
Sema Wanzazibari siyo CUF.cuf bhana imetoka kwa uchaguzi haukuwa halali sasa kuna petition
Ni kweli maneno yako ila wale wa lumumba fc hawatokuelewaSuala hili tusilichukulie poa hata kidogo, wakilivalia njuga wanaweza kutubwaga/kutushinda likawa Taifa linalo jitegemea kama lilivyo kuwa wakati wa ukoloni - msichukulie kimzaa mzaa petition iliyo wasilishwa UN inaweza kufungua a pandora box mkashangaa - nawambieni.
Wabunge wakifika Dodoma tatizo mnawaandalia mafungu manono ndio maana hii petition imepelekwa UN 😀
Madagascar na comoro zilimegeka kutoka wapi kiasili?Kwa vile kiasili Zanzibar, ni sehemu ya Tanganyika/Tanzania iliomegeka miaka mingi nyuma, then ni Tanzania pekee ndie mwamuzi wa mwisho, airuhusu Zanzibar iende au la sio UN
Nafikiri nchi zote duniani hazina haki ya kuwa sovereign states, zipokonywe viti vyao umoja wa mataifa, kwa sababu kiasili kumbe mabara yote yamemegeka kutoka Africa!Shuhudia
![]()
P.
Sovereignty haitokani na asili ya nchi, bali mipaka ya kimataifa. Zanzibar iliisha surrender its sovereignty kwa Tanzania, you can't claim it now.Nafikiri nchi zote duniani hazina haki ya kuwa sovereign states, zipokonywe viti vyao umoja wa mataifa, kwa sababu kiasili kumbe mabara yote yamemegeka kutoka Africa!
Why its not possible claim the sovereignty which was there before?Sovereignty haitokani na asili ya nchi, bali mipaka ya kimataifa. Zanzibar iliisha surrender its sovereignty kwa Tanzania, you can't claim it now.
Pole.
P