njoo utake kuoa tuone km utapewa
Onyesha mbeleko inayotumiwa na Tanganyika kwa jambo moja tuRejesheni tanganyika yenu sio kukaa na kuanza lawama,hii mbeleko ya muungano mnayo itegemea kuna siku mtakuja kulia machozi ya damu,muda utaongea.
Muungano wetu ni union, sio federation, tumeungana tumekuwa kitu kimoja, URT, hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika, hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, zote zili surrender their sovereignty na kuunda nchi moja ya TanzaniaKujifurahisha kisheria kwa vijikesi kesi na vijipetition rukhsa, hala hala msije kuwachangisha watu pesa za wakili, kwa sababu hakuna kesi hapo!.
Rejea.
- Tanzania is one country, URT, a sovereign state, hakuna anayeweza kuingilia mambo yetu ya ndani, sio mahakama yoyote ya nje sio UN.
- Muungano wetu ni union, sio federation, tumeungana tumekuwa kitu kimoja, URT, hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika, hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, zote zili surrender their sovereignty na kuunda nchi moja ya Tanzania.
- Jamuhuri ya Tanganyika is dead, haiwezi kufufuliwa, na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar pia is dead, haiwezi kufufuliwa.
- Zanzibar iliyopo sio nchi, ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani, hakuna sehemu yoyote ya JMT, inayoweza kwenda popote, kudai kutaka kujimega toka JMT!.
- Muungano wetu sio wa merger, yaani sio wa kuunganisha, kiasi utasema tutaumega, muungano wetu ni wa fussing, kama chemical reaction ya two chemical zika undergoes a chemical reaction na kuunda a new compound, hakuna tena process ya kuirudisha into its original forms.
- Muungano wetu ni wa milele, zile articles of union, zili provide kuungana tuu na hakuna kuachana!.
- Kwa vile muungano haukufanyiwa ratification kwa upande wa Zanzibar, then jengeni hoja ya kufanya ratification sasa kupitia BLW, ndipo likatae ku ratifying mseme Zanzibar wamekataa.
- Kwa vile muungano ni wa watu, na Zanzibar wana sheria ya kura ya maoni, wawaulize Wanzanzibar, wakisema hawautaki muungano, then watumieni wawakilishi wenu kupitia BLW litoe azimio, mlilete kwenye Bunge la JMT, lijadiliwe, na sisi Tanzania tuulizwe, tukikubali, ndipo sasa itungwe sheria ya kuuvunja muungano, tugawane fito.
- Muungano unaweza kumalizwa kwa kuundwa mahakama ya katiba ndio yenye uwezo wa kuuzungumza muungano wetu na sio UN.
- Kwa vile kiasili Zanzibar, ni sehemu ya Tanganyika/Tanzania iliomegeka miaka mingi nyuma, then ni Tanzania pekee ndie mwamuzi wa mwisho, airuhusu Zanzibar iende au la sio UN.
Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja!. - JamiiForums
Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. - JamiiForums
Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani? - JamiiForums
P.
Kama hoja ni unafiki kwenye muungano huu basi tanganyika(ccm) ndio bingwa wa unafiki,wameifuta tanganyika lakini wanasheherekea uhuru wa tanganyika kila mwaka.Onyesha mbeleko inayotumiwa na Tanganyika kwa jambo moja tu
Hapa ndipo kuna unafiki mkubwa. Wazanzibar ndio waliokataa rasimu ya Warioba iliyotaka kutenga nchi hizi. Kwa Watanganyika haikuwa na madhara, kwa wznz walinusa matatizo wakakataa
Tanganyika ikiwepo kama serikali, mbeleko ya muungano kwa wznz itakuwa hadithi
Ndani ya vikao vya tume ya Wariona, waliosisitiza mashirikiano ya lazima kati ya nchi mbili ni wazanzibar
Walisema iwepo haki ya ardhi kwa kutumia neno mtu anaweza kuishi popote
Wakasema iwepo haki ya ajira, kwamba mtu anaweza kufanya kazi popote
Wakasema ushirikiano uwe katika ulazima wa kwamba nchi moja ikiwa na tatizo la KIUCHUMI isaidiwe na mshirika. Hapa walijihani kwasababu tatizo la uchumi wa Tanganyika haliwezi kutatuliwa na ZNZ
Leo tungekuwa na bunge dogo la watu 50 la shirikisho na kupunguza gharama za Wabunge zaidi ya 100 kutoka ZNZ wanaokuja Dodoma kwa mambo si zaidi ya 7 , mengine wakisubiri posho
Wizara ya serikali za mitaa, kilimo, uvuvi, umwagiliaji, mawasiliano, afya, elimu ya juu na chini, biashara, zinawahusu wznz katika eneo gani? Kwanini wawe na kura au maamuzi ya vitu visivyo vya muungano
Unafiki wa pili ni kukimbiza mafuta na gesi kutoka katika muungano. Hatuwasikii wakiondoa elimu ya juu
Mara tukasikia waliokataa rasimu ni CCM siyo wazanzibar, wznz wenyewe walitaka serikali 3
Hii ilikuwa lugha nyepesi na laini kwa maana ya wale kutoka na wale wa kuzaliwa...
Unafiki mwingine ni ule wa mkataba wa muungano. Hivi mkataba huo utasaidiaje Tanganyika
I mean kupitia mkataba huo Tanganyika itanufaika na kitu gani.
Of course znz itanufaika ndio maana ya upuuzi wa mkataba. Hilo halitawezekana hata kwa bahati mbaya. Ikitokea vinginevyo kila mtu na njia yake. Hakuna kuweka vishikizo
Muungano una dosari nyingi mno na dosari hizo ni neema kwa wengi wanaoupigania.Najiuliza pale tunapoambiwa kuna serikali ya muungano na ile ya mapinduzi kuwa iko wapi ile ya tanganyika?Ina maana kuwa baada ya muungano serikali ya tanganyika ilikufa lakini ikabaki ile ya mapinduzi Zanzibar.Hivi mimi siwezi kuishi visiwani na kumiliki ardhi?Siwezi kuishi visiwani na kumchagua sheha,mjumbe wa wawakilishi,rais wa smz?Kwa nini kuna utofauti wa haki?Wazanzibar wanataka waone bendera yao pale New york kwa sababu wana Serikali yao.Hawa watu wamegundua kuwa kile chama cha njano na kijani kimejenga kasumba ya kupitisha wagombea wa urais wa Muungano kutokea bara kwa kutumia wingi wa wajumbe.Nawaunga mkono,wssikate tamaa kutafuta haki.Suala la Wazanzibari kuwasilisha petition kwa katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kutaka kurejeshewa kiti chake na mamlaka yake yaliyoporwa na Taifa la Tanganyika kwa kisingizio cha kuwepo kwa Muungano uliokosa misingi ya kisheria katika kuanzishwa kwake, ambapo hivi sasa suala hilo liko Mahakamani kwa kuhojiwa kisheria. petition hiyo, itawasilishwa kwa utaratibu maalumu wa kisheria za kimataifa mbele ya katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) ili nae aiwasilishe mbele ya baraza kuu la Umoja wa Mataifa iweze kujadiliwa kwa mujibu wa utaratibu wa baraza hilo.
Hata hivyo, wasimamizi wa suala hili wanawaomba Wazanzibari walio ndani na nje ya Zanzibar waendelee kufuatilia hatua zinazoendelea kuchukuliwa kwa misingi ya sheria za kitaifa na kimataifa ili kwa muda mfupi ujao nchi yetu irejee kuitumia haki yake ya uhuru,uwanachama wake wa kudumu UN na mamlaka yake kitaifa na kimataifa, na kuwa na ushirikiano wa kirafiki na watu na Mataifa ya jirani Tanganyika, Kenya, Uganda, Burundi, Ruwanda, Sudani na nchi zote za Umoja wa Afrika na ulimwengu mzima.
Kwa heshima ya sheria za kimataifa za ushirikiano bila ya ubaguzi wa aina yoyote, kazi hii inaendelea kufanywa na viongozi wetu wanao simamia hizi kesi, na baadhi ya wanasheria wa ndani ya Zanzibar na nje ya Zanzibar kwa manufaa ya Wazanzibari wote.
# AjendaYaZanzibar
Mkuu Mhagos, muungano wetu ni very unique duniani kwa sababu ni muungano wa kipekee, kwa nje ni union, kwa ndani ni fereration.Muungano wetu ni union, sio federation, tumeungana tumekuwa kitu kimoja, URT, hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika, hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, zote zili surrender their sovereignty na kuunda nchi moja ya Tanzania
.Hivi kwa nini kuna Tanzania BARA na kuna Zanzibar amabayo nilitarajia kuitwa Tanazania viswani? pia tumekuwa na bendera ya Zanziba na ya Tanzania??
Ibara ya 4 ya mkataba wa Muungano imeiruhusu serikali ya muungano kuyasimamia mambo 11 tu ya muungano.Muungano wetu ni union, sio federation, tumeungana tumekuwa kitu kimoja, URT, hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika, hakuna nchi inayoitwa Zanzibar, zote zili surrender their sovereignty na kuunda nchi moja ya Tanzania
.Hivi kwa nini kuna Tanzania BARA na kuna Zanzibar amabayo nilitarajia kuitwa Tanazania viswani? pia tumekuwa na bendera ya Zanziba na ya Tanzania??
Kwa KATIBA gani JPM aendelee KUWA Rais? wakati alikuwa Rais Wa Muungano na Muungano HAUPO? Shein ana Haqi ya kuendelea kutawala sababu alichaguliwa na wazanzibari!Kwa mtazamo wangu maisha yatasonga na itakuwa business as usual ingawa kutakuwa na adjustments kwenye government and its 3 branches of power;
The executive: JPM ataendelea kuwa head of state. Atateua mawaziri wapya kuziba nafasi za akina prof. Mbarawa
Legislative: wabunge wa Mrima wataendelea na majukumu yao
Judiciary: Chief Justice ataendelea na majukumu yake
Kwa KATIBA gani JPM aendelee KUWA Rais? wakati alikuwa Rais Wa Muungano na Muungano HAUPO? Shein ana Haqi ya kuendelea kutawala sababu alichaguliwa na wazanzibari!