Wazanzibar: Muungano unatuumiza, unatupausha!

Wazanibari wakipewa nafasi ya kupiga kura ya kuendelea na muungano au kujitenga, matokeo yanaweza kuwa tofauti na wengi wanavyodhani.
 
Wazanibari wakipewa nafasi ya kupiga kura ya kuendelea na muungano au kujitenga, matokeo yanaweza kuwa tofauti na wengi wanavyodhani.
Yawe tofauti kivipi mkuu? Unadhani wazanzibar wananufaika nini na muungano?
 
Hivi hebu tujiulize nchi zilizoungana na baadae zikajitenga kama Senegal na Gambia (Senegambia), Malaysia na Singapore etc sasa hivi zinaishije? Sisi tuna tatizo gani ambalo tunaona tukijitenga tutakufa?
Akikujibu nitag mkuu?
 
Kama wewe ni mtanganyika basi anza kufahamu hili, Siasa, imani na tamaduni za kizanzibar zimewajenga watu wake kuwachukia, kuwadharau na kuwabagua watanganyika kupita maelezo. Kila baya linalotokea Unguja au Pemba basi lawama zitapelekwa kwa mtanganyika.
Yaani mtanganyika akiwa Zanzibar, aje kutalii tu, ikiwa ataishi Zanzibar ataonekana ni raia wa daraja la chini, asiyekuwa na haki za kimsingi kama mtanzania.

Wazanzibar wengi wameaminishwa kuwa, mtanganyika amekuja kupora haki za mzanzibar, amekuja kuharibu asili na tamaduni za kizanzibar, na mwisho wa siku atawale Zanzibar.

Wazanzibar wengi wanaumia na kujisikia vibaya sana kuona mtanganyika anafaidika na kufanikiwa akiwa Zanzibar. Mabinti wa kizanzibar wengi wanawekewa kila kikwazo kutoka kwa ndugu zao wasiolewe na mtanganyika, lakini bado watanganyika wanazaa na kuoa kwa kasi mabinti wa kizanzibar.

Hali inakuwa mbaya zaidi ikiwa mtanganyika atakuwa ni imani tofauti na imani kuu inayotawala Zanzibar, asiwe na asili ya mwambao (Pwani, Tanga, Dar), awe msomi, mfanyakazi wa umma au kiwango kizuri cha kimaisha.

Pamoja na hayo yote, idadi ya watanganyika wanaokuja Zanzibar (hususani Unguja) kwa lengo la kuishi na kufanya shughuli mbali mbali kwa muda mrefu (kuhamia) inazidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu, idadi ya mabinti wa kizanzibar wanaolewa na watanganyika inazidi kuwa kubwa mnoo, Imani na tamaduni za Kizanzibar zinamezwa kwa kasi kubwa mnoo. Kama hali itaendelea hivi, huenda baada ya miaka 20 ijayo, uwiano (kitamaduni, imani, umaarufu) wa Uzanzibar dhidi ya Utanganyika hapa Zanzibar ukafikia 50/50.

Ile dhana ya kusema 99.9% ya wazanzibar ni watu wa imani moja nadhani ni dhana ya zamani sana (labda miaka ya 1970-80 huko), ukiachana na upagani (ambao ndio unaozidi kushamiri Zanzibar kuliko kitu kingine chochote), kasi ya imani zingine (tofauti na imani ya asili ya wazanzibar wengi) inazidi kushika kasi Zanzibar ni kali kupita maelezo, nyumba za ibada za imani zingine zinazidi kushamiri tena katikati ya Unguja, wazanzibar wakizipokea kwa mikono miwili na kuzifurahia.

Ni ngumu kuyazuia mabadiliko ya kijamii katika ulimwengu wenye watu mchanganyiko, ni muda muafaka kwa wazanzibar kubadilisha mtazamo wa kifikra ili maisha yaendelee kwa amani.
 
Wenye chuki wengi wakina pangu pakavu tia mchuzi,,,,,wale wenye noti wanagombania dili za kusupply mvinyo na noah huko mahotelini hata habari hawana
 
Kama wewe ni mtanganyika basi anza kufahamu hili, Siasa, imani na tamaduni za kizanzibar zimewajenga watu wake kuwachukia, kuwadharau na kuwabagua watanganyika kupita maelezo. Kila baya linalotokea Unguja au Pemba basi lawama zitapelekwa kwa mtanganyika.
Yaani mtanganyika akiwa Zanzibar, aje kutalii tu, ikiwa ataishi Zanzibar ataonekana ni raia wa daraja la chini, asiyekuwa na haki za kimsingi kama mtanzania.

Wazanzibar wengi wameaminishwa kuwa, mtanganyika amekuja kupora haki za mzanzibar, amekuja kuharibu asili na tamaduni za kizanzibar, na mwisho wa siku atawale Zanzibar.

Wazanzibar wengi wanaumia na kujisikia vibaya sana kuona mtanganyika anafaidika na kufanikiwa akiwa Zanzibar. Mabinti wa kizanzibar wengi wanawekewa kila kikwazo kutoka kwa ndugu zao wasiolewe na mtanganyika, lakini bado watanganyika wanazaa na kuoa kwa kasi mabinti wa kizanzibar.

Hali inakuwa mbaya zaidi ikiwa mtanganyika atakuwa ni imani tofauti na imani kuu inayotawala Zanzibar, asiwe na asili ya mwambao (Pwani, Tanga, Dar), awe msomi, mfanyakazi wa umma au kiwango kizuri cha kimaisha.

Pamoja na hayo yote, idadi ya watanganyika wanaokuja Zanzibar (hususani Unguja) kwa lengo la kuishi na kufanya shughuli mbali mbali kwa muda mrefu (kuhamia) inazidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu, idadi ya mabinti wa kizanzibar wanaolewa na watanganyika inazidi kuwa kubwa mnoo, Imani na tamaduni za Kizanzibar zinamezwa kwa kasi kubwa mnoo. Kama hali itaendelea hivi, huenda baada ya miaka 20 ijayo, uwiano (kitamaduni, imani, umaarufu) wa Uzanzibar dhidi ya Utanganyika hapa Zanzibar ukafikia 50/50.

Ile dhana ya kusema 99.9% ya wazanzibar ni watu wa imani moja nadhani ni dhana ya zamani sana (labda miaka ya 1970-80 huko), ukiachana na upagani (ambao ndio unaozidi kushamiri Zanzibar kuliko kitu kingine chochote), kasi ya imani zingine (tofauti na imani ya asili ya wazanzibar wengi) inazidi kushika kasi Zanzibar ni kali kupita maelezo, nyumba za ibada za imani zingine zinazidi kushamiri tena katikati ya Unguja, wazanzibar wakizipokea kwa mikono miwili na kuzifurahia.

Ni ngumu kuyazuia mabadiliko ya kijamii katika ulimwengu wenye watu mchanganyiko, ni muda muafaka kwa wazanzibar kubadilisha mtazamo wa kifikra ili maisha yaendelee kwa amani.
Ni kweli Zenji mabikra wote hawana marinda?
 
Ni kweli Zenji mabikra wote hawana marinda?
Nawe zee zima bado unakaririshwa vistori vya kipuuzi vya miaka ya 60 hivi?!!!!
Wahalifu (wenye kufanya hivyo) wapo na wanaojielewa (wasioshiriki upuuzi huo) pia wapo, ni mchanganyiko wa watu na matukio km ilivyo kwa jamii zingine. Huku bara tuna kina aunt Tito; bs ndo iwe sote tupewe hadhi h8yo tena?!!!! Si utakuwz utahira huo sasa?!!!!
 
Nawe zee zima bado unakaririshwa vistori vya kipuuzi vya miaka ya 60 hivi?!!!!
Wahalifu (wenye kufanya hivyo) wapo na wanaojielewa (wasioshiriki upuuzi huo) pia wapo, ni mchanganyiko wa watu na matukio km ilivyo kwa jamii zingine. Huku bara tuna kina aunt Tito; bs ndo iwe sote tupewe hadhi h8yo tena?!!!! Si utakuwz utahira huo sasa?!!!!
ASILIMIA 95% YA WAZANZIBAR HAWANA MARINDA ASEEE. ALLAH THE ARAB GOD HELP YOU GUYS.
 
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa uzalendo umewashinda, hivyo wameamua kutoka waziwazi na kusema jinsi wanavyokandamizwa na muungano huu wa Nyerere na Karume ambao, kwa namna yoyote ile, hauna tija kwao.

View attachment 2891578
Taabu hii haipo kwa wazaznzibar peke yao bali hata watanganyika wanahisi muungano huu umekuwa ukiwaletea shida za hapa na pale, huku serikali na chama chake wakiwa wameziba nta na pamba masikioni. Tazama jinsi watanganyika wanavyonyanyaswa nchini Zanzibar kwa kunyanganywa vifaa vyao vya kiutamaduni na kuwadhalilisha hadharani. Hii sio sawa hata kidogo.

View attachment 2891579
MAONI YANGU
Mimi nafikiri sasa ni wakati muafaka watanganyika tuondokane na huu utumwa wa kunyanyaswa na wazanzibar kila kukicha kwa kuchukua hatua madhubuti. Hatua ya kwanza ni kuwasaka wapemba waliotapakaa hapa nchini na kulipiza kisasi kama watanganyika wanavyonyanyaswa huko Zanzibar. Na hatua ya pili ni kutaifisha mali zao kwa maslahi mapana ya umma wa watanganyika.

Nawasilisha.

Aiseeee!!!!
 
Kauli ya mmoja ni kauli ya wengi. Kufuatia sintofahamu iliyojitokeza hivi karibuni, wananchi wa Zanzibar wameamua kupaza sauti zao. Wananchi hawa wamekuwa wakivumilia kwa muda mrefu lakini sasa uzalendo umewashinda, hivyo wameamua kutoka waziwazi na kusema jinsi wanavyokandamizwa na muungano huu wa Nyerere na Karume ambao, kwa namna yoyote ile, hauna tija kwao.

View attachment 2891578
Taabu hii haipo kwa wazaznzibar peke yao bali hata watanganyika wanahisi muungano huu umekuwa ukiwaletea shida za hapa na pale, huku serikali na chama chake wakiwa wameziba nta na pamba masikioni. Tazama jinsi watanganyika wanavyonyanyaswa nchini Zanzibar kwa kunyanganywa vifaa vyao vya kiutamaduni na kuwadhalilisha hadharani. Hii sio sawa hata kidogo.

View attachment 2891579
MAONI YANGU
Mimi nafikiri sasa ni wakati muafaka watanganyika tuondokane na huu utumwa wa kunyanyaswa na wazanzibar kila kukicha kwa kuchukua hatua madhubuti. Hatua ya kwanza ni kuwasaka wapemba waliotapakaa hapa nchini na kulipiza kisasi kama watanganyika wanavyonyanyaswa huko Zanzibar. Na hatua ya pili ni kutaifisha mali zao kwa maslahi mapana ya umma wa watanganyika.

Nawasilisha.

Uvivu mwingi kawaida ya kina yakheee!
Wao kunywa sharubati kwa mrija ndo waweza!
 
Back
Top Bottom