Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Hi
Watanganyika hoja yao kuu ni kwamba kwenye muungano hawana chombo chao cha maamuzi (Tanganyika), huku Wazanzibar hoja yao kubwa ni kwamba wanakosa nguvu ya moja kwa moja kwenye majukwaa mbalimbali ya kimataifa.
Wanashindwa kujiunga na union mbalimbali kama UMOJA WA NCHI ZA KIARABU, UN n.k
Sasa ni nani anaushikilia huu muungano kama sio Ibilisi?
Ibilisi ndiye huwakaba watu makohoni bila hiyari yao
Tumkatae Ibilisi.
Watanganyika hoja yao kuu ni kwamba kwenye muungano hawana chombo chao cha maamuzi (Tanganyika), huku Wazanzibar hoja yao kubwa ni kwamba wanakosa nguvu ya moja kwa moja kwenye majukwaa mbalimbali ya kimataifa.
Wanashindwa kujiunga na union mbalimbali kama UMOJA WA NCHI ZA KIARABU, UN n.k
Sasa ni nani anaushikilia huu muungano kama sio Ibilisi?
Ibilisi ndiye huwakaba watu makohoni bila hiyari yao
Tumkatae Ibilisi.