- Thread starter
- #81
Endelea na ujinga wakohata ludo alivyo kamatwa kwa ugaidi ulishtuka namna hii
Endelea na ujinga wakohata ludo alivyo kamatwa kwa ugaidi ulishtuka namna hii
Kwani hizi Panone si ni mali ya Riz1? Au ndio kafa?
Kwani tembo siku hizi haziwaingizii kipato?M4C haingizi kipato siku hizi,wameamua kuingia mtaani
Kwani tembo siku hizi haziwaingizii kipato?M4C haingizi kipato siku hizi,wameamua kuingia mtaani
Siyo yeye nimeshuhudia maiti ikipakiwa kwenye defender ya polisi.
Waliouwawa ni wawili aliekuwa kwenye rav 4 na fundi aliekuwa amevaa guo za rangi ya blue, huyu ndiyo ilihukua muda mrefu sana kuondolewa pale pengine ni kutokana na kufa palepale...
Huko hakuna kamati za ulinzi na usalama?Lema komesha ujambazi na mauaji Arusha.
Mwambie kikwete azuie usalama wa taifa kufanya ugaidiLema komesha ujambazi na mauaji Arusha.
Tunashukuru kwa ufafanuzi mkuuWaliouwawa ni wawili aliekuwa kwenye rav 4 na fundi aliekuwa amevaa guo za rangi ya blue, huyu ndiyo ilihukua muda mrefu sana kuondolewa pale pengine ni kutokana na kufa palepale...
Kuna habari zimeenea mjini
hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri
vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi
mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi
watujuze
Ni mfanyakazi sio mwenye mali...
Waliopewa jukumu hilo wamegeuka wauwaji na wategenezaji wa video halafu unataka lema afanye kazi ya kulinda wananchi badala uwaambie walio apa kuwalinda watanzania badala yake wana wawinda pumbuvu kabisa....Lema komesha ujambazi na mauaji Arusha.
Hapana ni meneja wao ndiye kapigwa risasi Arusha.Sio Patrick Ngiloi
Mwenye PANONE ni Riz1 na petrol station nyingi zina supermarket huyu mtoto ni fisadi mbaya kabisa na madawa ya kulevya...panone ni Bilionea ni zaidi ya mfanyabiashara, anamiliki petrol station zaidi ya 20 ndani na nje ya nchi!huwa analeta meli nzima ya mafuta mwenyewe. Kama amekufa kweli apumzike kwa amani
Ni kweli nimethibitishwa na mtu wake wa karibu kabsa
Kama ni kweli, basi kuna kitu kinazunguka Arusha ambaco sio kizuri