Wawili wauawa Arusha

Wawili wauawa Arusha

NGiloi (panone) ana mzigo hata kabla ya RizOne....labda kama ameingia share now....Jamaa amepiga vimeo vingi vya "hatar" so sishangai akiwa Billionea
 
Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze

Mbona Arusha vifo vya risasi vingi
 
Na ukweli huu tuliujua toka zamani hizo za kukosa usalama,BADO ANSELIM MINJA,naye yupo kwenye obligation list yenu!! Na yeye pia anaelewa hilo,kama ambavyo mawalla alivyokuwa aware na kilichotokea,haya ni mambo madogo sana kwa ccm unayoishabikia,makubwa zaidi yapo chini ya carpet.[/QUOTE
Mkuu nakushauri kama raia mwema mwenzako, ukiwa na jambo lolote lile ambalo unahisi linaweza tokea peleka katika ngazi husika, hakuna haja ya kukaa na mambo chini ya kapeti, nenda polisi mkuu
 
Back
Top Bottom