Wawili wauawa Arusha

Wawili wauawa Arusha

hakuna chochote hawa walikwenda kwa donoadonoa na muda wao waliopewa kuishi kwa raha mstarehe umewadia.



Una maana walikua hawajaanza kuishi kwa raha mstarehe, sasa muda UMEWADIA ndo wanaanza ''kuishi raha mstarehe''?? Au muda wa kuishi raha mstarehe UMEISHA??
 
Sina uhakika ila kuna majambazi yameua mtu pale Karibu na idara ya maji nasikia hao watu walikuwa wanapeleka pesa bank majambazi wamekimbia na hizo pesa.
Sahizi hao jamaa (majambazi) watakua wakila bata kwa kijiko
 
R . I . P bilionea tutakukumbuka kwajinsi ulijua kuzungusha meza
 
Mh! Kazi ipo. Kuna kitu kwa hao ma-tycoon wa Arachuga.

Yule wakili maarufu kijana naye nilisikia akibweka kuwa yeye si freemasons...kauli zake za hivi karibuni zina utata kweli.
 
Wakuu ni kweli kabisa nimefika eneo la tukio chini ya mti inadaiwa kapigwa risasi ya kifua. Kabla ya hapo trafiki wawili wa kike walikuwa wamemsimamisha wanamkagua ndio jamaa wakaja na pikipiki wakamshuti trafiki wakakimbia.

Trafki wanahusika kwa vyovyote.
 
Arusha kinani?

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Wakuu ni kweli kabisa nimefika eneo la tukio chini ya mti inadaiwa kapigwa risasi ya kifua. Kabla ya hapo trafiki wawili wa kike walikuwa wamemsimamisha wanamkagua ndio jamaa wakaja na pikipiki wakamshuti trafiki wakakimbia.

walifanikisha kuchoronga hizo hela hao manyamera? Update zinasema walikuwa na kiasi gan mkuu...

hahaha arusha bhana..so hao matrafki walikuwa pazia kudaka gar had wazee wa kazi wakafika na toyo ama niaje?
 
Kwani hayomauaji yametokea saa ngapi, sikuhizi ukiwa bilionea unaishi kuwa machale
 
Inasadikika wapo wote kibiashara na ni walikua marafiki na marehemu BABU SAMBEKE


kama ni kweli wakati mwngine naonaga bora ktk biashara uwe stand alone kuliko kuwa
shared kama kuna jitu mojawapo
linatamaa utajuta kuzaliwa!!
 
Kuna habari zimeenea mjini hapa Mkoani Kilimanjaro kuwa mfanyabiashara Maarufu wa mafuta na vipuri vya magari Anayemiliki kampuni Ya PANONE amefariki kwa kupigwa risasi mkoani Arusha bdo ni tetesi kama ni kweli wenye taarifa zaidi watujuze

PANONE si niya RIZ One ama?
 
MFULULIZO WA MAUAJI YA SIRI JIJINI ARUSHA SI SALAMA KWA CHAMA TAWALA NA TIMU ZAKE ZA KUSAKA URAIS KWA MTAJI WA DAMU YA WENGINE

Jamani hii programu ya mauaji ya msururu mkubwa wa wanachama wa CHADEMA na wafadhili wetu jijini Arusha tangu Askofu Laiser hadi leo mfanyabiashara mmoja baada ya mwingine mwisho wake lini??

Kimsingi kuna mtuanamdanganya Chatanda kwamba ili kuking'oa CHADEMA katika mioyo ya wananchi kule Kaskazini basi unahitaji kumualika Rais Kikwete kuja kuzindua mpango mzima huo kwa kuanza kukimbia mitaani A-Tauni na kupungia watu huku na kule.

Yote juu ya yote, CHADEMA hakiwezi kuondolewa katika mioyo ya wengi kwa kuwaua baadhi ya wakubwa wao.
 
Back
Top Bottom